Tumgik
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
🌹 MAMBO 6 KUZINGATIA MNAPONYANDUANA🌹 Naitwa Dr.Charles CEO TIBU Chanzo KUJIFUNZA NAMI YOUTUBE SUBSCRIBE 👇 LINK ON BIO 1.MWANAUME ASIFIKIRIE SANAA TENDO KABLA YA TENDO LENYEWE✍️ ..kuwaza sana kabla ya tendo lenyewe ni sawa na unafanya mapenzi mwenyewe kwenye akili yako,kitu ambacho kinamaliza raha zote na akili na mwanaume inachoka mapema, unapofikiri sana kuhusu mambo yote hayo,huwa haitokei kwenye ukweli wenyewe pindi utakapokuwa nae kitandani ,utajikuta unafanya kidogo tu unachoka au na hamu ya mapenzi inakatika, 2.ANZENI KUFANYA MAPENZI TARATIBU.✍️ Mwanaume usiwe na pupa.. Anza kwanza kwa kugusisha kwa juu kwa dakika kadhaa, jisugue kwa juu ili kukopi joto la ndani kuepusha ile kuingiza tu af mda mchache umemwaga. 3.UWE MWEPESI KUMSOMA MWENZAKO NI MGENI WA MAPENZI AU NI FUNDI KAMA WEWE✍️ kam mwenzako ni mgeni wa mapenzi au mapenzi yenu hayana muda mrefu , basi usiende kwa levo za juu mara kidogo tu umeshakamatilia kunyonya dudu😄🥳 Fanya kumpapasa maeneo ambayo unajua kwake utamuachia historia mfano kumnyonya NYAYO ZA MIGUU, LOVE BITES na e.t.c. wanaume na sisi tunaitaji kutomaswa et👋👌 sio umewekwa tu kitandani unafumba macho🙄 4.EPUKA KUMUWAZA MTU MWINGINE KATIKATI YA UTAMU ✍️ Unapomuwaza mtu mwingine wakati wa tendo unasababisha kuhama kwa hisia na kuchelewa kufika kileleni, Kwa mwanaume kumuwaza mtu mwingine kati kati yenu inakufanya ufike mapema sana tofauti na ulivyopanga gemu lako la chumbani.. Kumbuka kubadili style kila baada ya dakika 2 ili kuongeza mda wa kudonoana. 5.MWANAUME AWE MBUNIFU KWENDA ROUND 2 BILA KUCHOMOA ✍️ Ili kuendelea on spot mwanaume alegeze hisia kidogo .. Asivutie utamu mno wakati wa kumwaga.. Unaweza kuongeza kumbusu, na kumtach sehemh za mwili wake huku mkichombezana maneno ya utamu na wewe mwsnamke mshukuru mmeo na mpongeze kwa kumaliza raund ya kwanza. Ukimwambia asante kwa raund ya kwanza lazima tu ajue kuna raund ya pili inafuata 😂😋 Mapenzi kama upuuzi ila ndo utam wenyewe. #drcharlesceo (at Rock_city_rally) https://www.instagram.com/p/COkDV_xHiaf/?igshid=61tvojgpd1m9
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
at Rock_city_rally https://www.instagram.com/p/CN7ZZ2THqcI/?igshid=or4p7iabfkaz
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
🌹 *JINSI YA KUNYONYA UUME,SHINGO, MASIKIO NA CHUCHU*🌹 KUANGALIA YOUTUBE LINK ON BIO 😁.. Ebu ungana na Dr.Charles mara nyingine katika darasa hili.. Asikwambie mtu mwanaume naye anaitaji kuandaliwa bibiwe👌 Kama unataka kuridhishwa basi usifike kitandani ukaanza aibu za ajabu mara ufumbe macho yani hutofika unapopataka mwali wangu.. Kwa kawaida wanaume huwa wanajifanya ndio madereva wazuri pindi linapokuja suala la utamu lakini leo nikuibie siri,, usikubali uchezewe wewe pekeako☺️☺️ Yapo maeneo manne ambayo leo tutayaongelea vizuri.. Maeneo hayo yanahitaji sana ulimi wa mwanamke💋💋❤️🌹 *1.SHINGO* 👉Mshike kichwa mwanaume kwa kumuinamisha, pitisha ncha ya ulimi kwenye sehemu ya koromeo mithiri ya mbwa akiwa analamba maziwa 🍼... Fanya hiki kitendo taratibu sana ukitokea chini ya koromeo kwenda juu hapa lazima umuone anahangaika🤪 ukimaliza anza kumnyonya kama mtoto anaenyonyo koni.. Zunguka sasa na ulimi hadi pembezoni na usisahau kung'ata taratibu (LOVE BITE)🌴🌴🌴 *2.MASIKIO* 👉Aisee maskio yamebeba hisia kali sana na katika mapenzi usisahau hata kidogo kupitisha ncha ya ulimi ndani ya sikio huku unakuwa kama unapuliza kwa kushitukiza vile💋💋💋 hapa utasikio ooooshhhh bby plzzz taratibu mama angu aaaaah ..... *3.CHUCHU* 👉Chuchu za mwanaume zinaponyonywa taratibu huamsha mishipa ya mb## ambayo huwa inasimamaga kwa nadra sana.. Na hiyo mishipa huwa inaweza kumfanya mwanaume akakudonoa kwa mda mrefu ... Anza kwanza na ncha ya ulimi mwali wangu.. Fanya kama mtu anaepiga vigelegele, , ukimaliza mlambe halafu sasa anza kunyonya kama mtoto anamnyonya mama aaasiiiiii yani hii kitu ni hatari sana kwa afya ya mwanaume, , mnyonye mpaka usikie anakwambia NAKUPENDA MAMA ANGU🌹🌹 *4.UKUNI* 👉Hapa sitaki niongee sana ila ukitaka kukamilisha kabisa kazi nzima usisahau hii sehemu... *JINSI YA KUNYONYA UUME INGIA KWENYE LINK BIO USIKILIZE* #0746192605 #drcharlesceo _TIBU Chanzo_ (at Rock_city_rally) https://www.instagram.com/p/CM0b9Vcny8_/?igshid=1ehqz1h43x6ku
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
🌹 *DONDOO ZA MAPENZI*🌹 EPISODE 3 *JINSI YA KUSAFISHA KITUMBUA CHAKO (MWANAMKE) NA KUTOA RANGI NYEUSI KWENYE K*✍️ Karibuni tena katika Dondoo za mapenzi na siku ya leo Dr.Charles nimekuandalia makara hii ya jinsi ya kusafisha uko kwa bibi. Mara nyingi wanawake mnaponyoa mavuzi mnapata vipele vidogodogo na vipele ivi vinakera mno hata kufikia kuchosha kabisaa maana vikiisha vinaleta weusi kwenye uso wa k hapa nazungumzia weusi kwenye uso wa k na ndio tunachokitibu hapa na si ndani ya k.👌🏽👌🏽 *MAHITAJI*✅ 👉ROSE WATER 👉COCONUT OIL PURE 👉CHUMVI 👉BAKINGSODA *JINSI YA JINSI YA KUFANYA*🌴❤️🌹 Nyoa k yako angalia vinyweleo vinaenda usawa ganii ndio uvinyoe hapo autajikata wala kuhisi maumivu yani utavinyoa vizur kabisaa kwa kiwembe ukimaliza chukua rosewater jipake kwenye uso wa k,🥰 ukimaliza hapo chukua chumvi bakingsoda na mafuta ya nazi changanya jisugue taratibu kwenye uso wa k yani fanya kama unapaka mafuta vile taratibuu sanaaa, utahisi kuumia kidogo ni kawaida ukimaliza hapo kaa dk.2 nawa na rose water vizur👌🏽👌🏽 yani tumia rosewater kunawia uso wa k yako hakikisha ni roserwater yenyewee haswaaa na coconut ni yenyeweee aswaaa si kila coconut inafaaa hakikisha ni pureee km zilivyo pure coconut oil ni mafuta hali ya nazi ya kupikwa so uwe makini na ilo ukimaliza hapo😁😁 chukua taulo jifute vizur ukimaliza kujifuta chukua mafuta yako ya nazi jipake uso wote wa k paka mafuta aswaa ukimaliza hapo vaa chupi yako safii hakikisha chupi safi👌🏽👌🏽 na imekauka vzr ili usipate fangasi ukimaliza hapo endele na miangaiko yako. Kitendo hiki unaweza kukifanya mara tatu kwa wiki au zaidi. SWALI‼️ Ni njia ipi unayotumia kusafishia K yako?? _TIBU Chanzo_ (at Rock_city_rally) https://www.instagram.com/p/CMzM8BhnRgq/?igshid=7ub8ocpnd4ow
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
🌹DONDOO ZA MAPENZI🌹 EPISODE 1 *MAHABA BAFUNI*✍️ KUANGALIA YOUTUBE👇 https://youtu.be/zYXVvhxaX6w LINK ON BIO Karibuni pia katika dondoo za mapenzi na leo Dr.Charles atazungumzia suala la KUOGESHANA... UNAPOTAKA KUOGA NA MUMEO SHARTI USIONE AIBU BIBI ...👌🌴 KUOGA INAWEZA KUWA NDANI YA JACUZZI AU BATHROOM SHAWERS.. ILA LEO NATAKA TUONGELEE MAJI YA KWENYE NDOO✍️ ANDAA MAJI YAKO YA MOTO KWENYE NDOO NA NDOO NYINGINE MAJI YA BARIDI MUME HAOGESHWI MAJI YA BARIDI MWARI NI USUNGO HUO...😁🥰 LABDA KAMA CHOONI KUNA HEATER LA MAJI MOTO....NA KUMUWEKEA MUMEO MAJI YA MOTO YA KUOGA NI MAPENZI NA UNADUMISHA PENZI LENU ❤️🔥 BASI UKIFIKA BAFUNI ANZA KUTOA NGUO ZAKO ZIWEKE PANAPOHUSIKA KISHA MVUE MUMEO NGUO ALIZOKUWA NAZO ANZENI KUPIGA MSWAKI MKIMALIZA ANZENI KUMMWAGIANA MAJI KAMA VILE MNACHEZA😁😁 (raha sana) BASI MKE MPAKE SABUNI MMEO MWILI MZIMA MSUGUE VIZURI..MWILI MZIMA ...MSUGUE MGONGO...MSUGUE MIGUU...USISAHAU MASIKIONI ..MUME NI MTOTO BIBI WEEE MUME ANATAKA MALEZI....MWACHE NA YEYE AKUSUGUE JIACHIE BIBI WEEE SIO MUMEO ANAKUOGESHA MWILI UMEUKAZA KAMA MAMBA ALIYEKUFA🥱🥱 AKIMALIZA MWAGIANENI MAJI VIZURI MKISHA TAKATA SASA ZAMU YAKO KUCHAMBA ISAFISHE K*M* VIZUURI SHIKA SABUNI KIDOGO KWENYE MKONO WAKO ANZA KUMMASSAGE MB#O ...🌹🌹 ICHEZEE. ..FANYA KAMA UNAIMASSAGE ZUNGUSHA MKONO WAKO..MSUGUE MPAKA MAPUMBU YAKE VIZURI UTAMUONA NA YEYE ANAPELEKA MKONO KWENYE K*M* BIBI TANUA MIGUU YAKO MWACHE AKUSHIKE JIACHIE BIBI WEEE MPE DENDA LA NGUVU UTAMU UKIKOLEA MPE TAMU...INAMA SHIKA NDOO SIMAMIA VIDOLE MWACHE ALE RAHA ZAKE...TENA STYLE HIYO TAMU SANA....UNAPATA BALANCE NZURI YA KUKATA MAUNO KAMA MCHEZA SHOW ...😃🌴 MKATIKIE BWANA HUKU MNAGUGUMIA KIMNYA KIMNYA HAPO BIBI MWANAMME HACHELEWI KUKOJOA KWA HIYO HISIA ZAKO ZIWEKE HAPO ILI MKOJOE PAMOJA MKIMALIZA MNAOGA TENA MNATOKA WEPESI.....CHA BAFUNI KITAMU ASIKWAMBIE MTU🥰🥰🥰 #Dr.CharlesCEO #0746192605 (at Rock_city_rally) https://www.instagram.com/p/CMrWJtbHjDu/?igshid=7ynokky9pw3g
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
🌹 JINSI YA KUFIKA KILELENI MAPEMA🌹 KUANGALIA STAILI TANO ZA KUFIKA KILELENI MAPEMA BOFYA LINK IN BIO Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kilele kwa upungufu wa nyege au matatizo mengine ya kimaumbile tukiachilia mbali swala la kukeketwa. Baadhi ya wanawake hufikia kilele mara moja tu (tena kwa kushugulikiwa kisimi sio ule uhondo wa kwenye ku* ) 🌻🥳 Ila wapo wachache wamejaaliwa na hupata uhondo wote wa kufanya mapenzi yaani wanaweza kufika kileleni *zaidi ya mara mbili katika tendo/mzunguuko mmoja.*😍😋☺️ Ujuzi au utundu wa mwanaume hausaidii ikiwa mwanamke mwenyewe hajiamini na vilevile hajui ni kitu gani kina “kunyegesha”.🌻🌻🌻 👉Mwanamke anasehemu mbili maalum zinazopelekea kufikia kilele ikiwa zitafanyiwa kazi vyema sehemu hizo ni:- 🔼KISIMI 🔼KIPELE G Wanawake wengi wanakasumba ya kukimbilia “mikao” migumu wakiwafikilia tu wanaume wao🙄🙌 Kumbuka raha ya mwanaume sio kumwaga ila ni kumuona mwanamke anafika panapotakiwa...ikiwa unamatatizo ya kufika kileleni hakikisha mnaanza na “mkao” ambao unajua wazi unakufikisha ktk dakika chache badala ya kukimbilia “doggy”🥳 ukijua wazi mumeo ana mb#o fupi. KUANGALIA HIZO STAILI 5 LINK ON BIO Nikuache na swali ujibu katika coments hapo chini JE MARA YAKO YA KWANZA KUFIKA KILELENI ULIJISKIAJE??? Follow @tibuchanzo instagram ili upate vipindi moto moto.. (at Rock_city_rally) https://www.instagram.com/p/CL-KUvFnLYi/?igshid=b46ybxcab0ty
#o
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
UTAMU WA SHANGA NA FAIDA ZAKE😍✍️ KUINGIA DARASANI YOUTUBE LINK ON BIO Ebu leo _Dr Charles akudokezee kidogo kuhusu hizi SHANGA👌 asikwambie mtu kwa wanaume wengi wa Kiafrika wanapenda sana mwanamke kuwa na chachandu kwani wanakwambia zinawapa raha na utulivu wanapokuwa faragha. 🌸Chachandu zinapaswa kuvaliwa wapi?, ⏩ si kila sehemu unavaa chachandu angalia na sehemu ya kuzivaa kwa sababu ukizivaa eneo la kazi utatafsiriwa vibaya, zile zinafaa kuvaliwa chumbani ukiwa na mpenzi wako tu. ⏩Unajua zile zinatungwa na uzi huenda ukazivaa na ikatokea zikakatika hivi utajisikiaje ukiwa sokoni halafu zikakatika lazima utaona aibu na wengine hudiriki kuziacha hapohapo. Cha kufany vaa kwa raha zako wakati unahisi mumeo anataka kurudi nyumbani, ukishaoga na umeshajiandaa kwa kumpokea mume unaweza kuvaa chachandu kwani zitachangia kumuweka tayari mumeo UMUHIMU WA KUVAA SHANGA 😍😍 ⏩Kiuno cha mwanamke👗 hupendeza zaidi na kuvutia kama kikipambwa kwa kukivalisha shanga ,👙👙👙Nami nakupa maana na kazi ya shanga hizo 1: UNAWEZA UKAZIVAA KAMA UREMBO 🌻 Kuna baadhi ya wanawake siku hizi wanapenda kuvaa shanga 👙kama urembo,na kusema kweli kiuno cha mwanamke kikivalishwa shanga kinapendeza 👙👙na kuongezeka mvuto ,Sio tu kwa wanaume bali hata kwa wanawake pia,ukivaa shanga kiuno chako kitapendeza😍 2. HUONGEZA HAMU 😍NA MZUKA WA KUKATA KIUNO WAKATI WA KUPEANA RAHA 🌻baadhi ya wanawake wanapocheza ngoma👯‍♀️kiunoni huvaa kitu kinachoitwa kibwebwe ambacho huwafanya wafeel wepesi wa kukata miuno💃 vivyo hivyo tunatakiwakuvaa shanga ya kufanya iwe rahisi kwetu kukatika na viuno vionekane kweli vinakatika.💃💃Na pia wanasema sio tu zinasaidia kukata kiuno vizuri lakini pia zinaongeza mvuto mwanaume😍😍👶 akiangalia kiuno kilichovalishwa shanga kikikatika. 3.UNAWEZA UKAZIVAA KWA AJILI YA KUMPA HAMU YA KUPATA RAHA MUMEO/MPENZI WAKO😍😍 ➡️.Ki ukweli ukiziona shanga zipo kiunoni lazima upate hamu kama wewe ni mwanaume wa ukweli, ⏩Kwahiyo kama huna mazoea ya kuzivaa,👙na ulikuwa unapenda kufanya au kuongeza kitu kipya kwenye uwanja wenu wa kupeana raha na utamu,💋😘💏basi nenda kanunue shanga,kisha uzivae ukiwa peke yako kwa ajili ya kumsuprise mpenzi wako.❤️❤️ (at Rock_city_rally) https://www.instagram.com/p/CLy0cvUnDAp/?igshid=nsnc79nk2q8c
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
🌹 JINSI YA KUMWOMBA MWANAUME KITU NA AKUKUBALIE KIRAHISI🌹 Siku zote katika maisha ni ubunifu wako unaoweza kukupa raha 👌 Mwanamke lazima uwe mjanja katika ndoa yako.. unajuwa hakuna mwanaume mgumu kwa mwanamke ila ni mbinu tu za kivita😃 Ebu leo nisikilize Dr.charles nikupe mbinu moja ukaongezee kwenye mbinu zako huenda zikaleta matokeo makubwa... Kwa kawaida mwanamke huwa tegemezi kwa mwanaume bila kujali kipato chake...Mwanamke ana matumizi mengi sana kuliko mwanaume tena akiwa ni mtu wa kuomba tu kila kitu huenda tungewakimbia hawa wamana. Pia katika ndoa yapo maombi mbali mbali mwanamke anaweza kuomba ruhusa kwenda sehemu flani huenda ikawa kusafiri kabisa... Sasa ebu nisikilize vizuri usipende kumwomba mwanaume kitu au ruhusa wakati wowote unaojisikia ilimradi tu et ukamilishe shida zako🙌 Kama kweli mnapendana unaweza subiri nyakati za usiku mkiwa faragha mmepumzika hapo stress za mitaani zimeisha, nguo mmepunguza. MCHUKUE MUMEO MLAZE JUU YA KIFUA CHAKO NUSU MWILI, AKISHALALA SASA ANZA KUMPAPASA MGONGONI KWA KUTUMIA NCHA ZA KUCHA TARATIIBU SANA TEMBEZA MKONO WAKO WA KULIA NJOO MPAKA KICHWANI FANYA KAMA UNAZILAZA NYWELE ZAKE HUKU MNATIA STORY KIDOGO KWA SAUTI YA MAHABA UNAONGEA SAUTI YA CHINI...TAMUUUUU...😘🌻🌷 HUKU UKIMUITA MAJINA YAKE NA YALE MAJINA ANAYOPENDA MKUMBATIE KWA NYUMA MPO WOTE MKIWA MMELALA UBAVU....HALAFU MKONO WAKO WA KULIA UKUNJE KWA NYUMA YA KICHWA CHAKE ANZA KUMPAPASA KICHWA CHAKE TARATIIBU CHEZEA NYWELE ZAKE HUKU MKONO WAKO WA KUSHOTO UPITISHE KWENYE KIFUA CHAKE HALAFU UNAMKUMBATIA HUKU UNAUTEMBEZA TARATIIBU UNAFANYA KAMA UNATAFUTA KITU...KAMA ANA LOVE GARDEN RAHA SANA UNAZIVUTAVUTA TARATIIBU HUKU UNAMPA MABUSU YA KWENYE SHINGO...MGONGONI Yes HIl INAMFANYA AJIONE YUPO DUNIA NYINGINE WALLAAHI RAHA SANA MUME LAZIMA AZIDISHE MAPENZI KWAKO BIBIEEE HAPO SASA OMBA UNACHOKITAKA☺️☺️ KUTAZAMA VIDEO LINK ON BIO (at Rock_city_rally) https://www.instagram.com/p/CLuFjprAa2n/?igshid=9w7atqnm4o67
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
🌹 ZAWADI GANI ASIKUSAHAU🌹 Zawadi ina maana yake katika mapenzi na zawadi huongeza upendo baina ya watu wawili wanaopendana 🌲🌹🔥 Leo Dr Charles nikakuandalia somo pambe kabisa☺️ Kwa Haraka Haraka unaweza ukahisi ni Zawadi ya gari ,sheli ya mafuta n,k ndio itamfanya asikusahau, .. Leo nitakufundisha jinsi gani unaweza kutoa kitu chenye thamani ndogo sana lakini ukakitoa kwa uthamani mkubwa mno 1.MSOME MPENZI WAKO ANAFANYA NA ANAPENDA NINI✍️ Ili umfanye mwenza wako aone uthamani wa kitu utakachompa lazima umsome anapenda nini,,, kwamfano anaweza kuwa anapenda KUCHEZA MPIRA. UTANASHATI. KUANGALIA MUVI. MFANYABIASHARA. USAFI. MLEVI. NI MTU WA MAGEM E.T.C 2.MUANDAE KISAIKOLOJIA✍️ Ukipata kizawadi hicho kidogo tu kwenye hio sekta yake mfano yaweza kuwa:- 👉MPIRA AU JEZI. 👉SAA,KACHA AU CHENI 👉UA ROSE 👉DIARY,KALAMU 👉ALBAMU YA PICHA 👉CHOCOLATE,APPLE 👉VAZI. 👉EARPHONE. E.T.C Ukishapata hio zawadi usimwambie kuwa utampa nini ila mwambie kuna kitu kikubwa sana umemuandalia kwaajili yake akikuukiza ni nini mwambie ni kitu ambacho hajawahi pewa na haitotokea siku akapewa ila wewe ndo utampa. JIAMINI😁... Hapa lazima mwenza wako apagawe. Yani kuna mda anaweza shindwa kula kisa anawaza hio zawadi..🥳🌹🌲 3.TENGENEZEA STORY✍️ Hii ndio sehemu muhimu sana,,, usimpe mtu zawadi kama hujaitengenezea story.. Tengeza story ukiidadafua ile zawadi kimapenzi... Kuna namna nyingi sana za kuilezea zawadi nikianza kutoa mifano huenda tusimalize leo... (BINAFSI NILIWAHI KUPEWA ZAWADI YA BIG BOM..ILA JINSI ILIVYOELEZEWA MPKA LEO NAONA ILE NDO ZAWAD KUBWA KULIKO ZOTE NILIZOPEWA😁... UKITAKA KUJUA NITAFUTE NITAKWAMBIA NILIPEWAJE HIO PIPI NA ILIELEZEWAJE) 4.TOA WITO-HISIA WAKATI WA KUTOA ZAWADI✍️ Sasa zawadi yako ipo tayari na story yake umeishaindaa kinachofuta ni kuomba kukutana nae Hapa wengi tunakosea sana unakuta mtu anamuagiza mtoto kupeleka zawadi🙄 Mwingine anamfuata kabisa nyumbani eti akampe zawadi🙄 na cha kushangaza anamaliza kumpa et wanaanza kupeana utamu😁😁. Hii sio sawa bibie,, BONYEZA LINK UINGIE YOUTUBE KUTAZAMA JINSI YA KUWASILISHA ZAWADI YAKO👇👇 LINK ON BIO NGOJA NIKUACHE NA SWALI MOJA..IVI KUPENDA NI HISIA AU MAAMZI....??? #0746192605 (at Rock_city_rally) https://www.instagram.com/p/CLmc2-nAGdr/?igshid=qj094zwc7e5n
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
UTAMU WA MATITI MAKUBWA Baadhi ya wanawake wamekuwa wakutokulidhika na maumbo ya miili yao... Na leo Dr Charles nimekuandalia somo pambe wewe mwanamke ambaye una matiti makubwa... Katika kipindi cha hedhi wengi huwa wanakwepa kukutana na wapenzi wao,😃😃 Ebu tumia matiti yako vizuri ukiwa umeandaa mafuta ya nazi na usafi wa kutosha... Ili kujifunza ingia youtube link kwa bio ili kutazama video ya mafunzo. Kipindi kinachofuata nitafundisha raha ya vimatiti saa sita.. na leo nikuache na swali moja.. HIVI KUPENDA NI HISIA AU MAAMZI?? komenti jibu lako hapo chini👇👇 Follow @tibuchanzo ili uwe wa kwanza kupata taarifa kama hizi.. like❤️ na mtag mwenzako ili afurahi pia... #drcharlesceo #love #0746192605 https://www.instagram.com/p/CLeRJtfgaRk/?igshid=1bjl225c0jvo6
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
Leo Dr Charles nimekuandalia Darasa YOUTUBE ili wewe mwanandoa upate kuienzi ndoa yako kwa raha uitakayo. Watu wengi wanafundisha kuhusiana na mahaba chumbani lakini leo ebu nikupe vitu 6 unique ili uzingatie uwapo kitandani na mwenza wako. Mapenzi ni kujifunza na kama unaitaji kufahamu vitu hivyo tembelea link katika bio ili uingie youtube kupata uhondo kamili. Naomba nikuache na swali wewe mama JE NI KIPI UNACHUKIA KUFANYIWA NA MWANAUME WAKATI UNATOMASWA?? Jibu katika komenti hapo chini.. Like na pia usisahau ku follow @tibuchanzo ili uwe wa kwanza kupata taarifa kama hizi. #drcharlesceo #love #mapenzi (at Mwanza City Council) https://www.instagram.com/p/CLUVyljgTdK/?igshid=1okuw1em7kdnw
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
KARIBU KUJIUNGA NA DARASA LA WHATSAPP 1.AFYA YA MAMA 🔼KUVURUGIKA KWA SIKU ZAKO. 🔼MAUMIVU WAKATI WA TENDO. 🔼MAUMIVU YA TUMBO NA KIUNO. 🔼KUTOKWA NA UCHAFU 🔼KUTOKUPATA UJAUZITO. 3.AFYA YA BABA 👉Tutajadili yale mambo yetu MAFUNZO YATACHUKUA SIKU 30.. Tufatilie instagram na facebook @tibuchanzo Pia tufatilie katika blog yetu👇 tibuchanzo.blogspot.com LINK ON BIO Whatsapp-0746192605 Bonyeza link hapo chini ili kujiunga sasa 👇👇👇 https://www.instagram.com/p/CKsBfgtgcmx/?igshid=h3ja7ljhxkgc
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
KARIBU KUJIUNGA NA DARASA BURE WHATSAPP 1.AFYA YA UZAZI KWA MAMA 🔼KUVURUGIKA KWA HEDHI. 🔼MAUMIVU WAKATI WA TENDO. 🔼MAUMIVU YA TUMBO NA KIUNO. 🔼KUTOKWA NA UCHAFU UKENI. 🔼KUTOKUPATA UJAUZITO. 2.AFYA YA UZAZI KWA BABA 👉masuala yote ya ushujaa kwenye yale mambo yetu 3.SIMULIZI. MAFUNZO YATACHUKUA SIKU 30.. Tufatilie instagram na facebook @tibuchanzo Pia tufatilie katika blog yetu👇 tibuchanzo.blogspot.com LINK ON BIO Whatsapp-0746192605 Bonyeza link hapo chini ili kujiunga sasa 👇👇👇 https://www.instagram.com/p/CKsANonAJX0/?igshid=10s3mppuvwa1g
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
KARIBU KUJIUNGA NA DARASA LA WHATSAPP Wewe ni mama unasumbuka na 🔼KUVURUGIKA KWA HEDHI. 🔼MAUMIVU WAKATI WA TENDO. 🔼MAUMIVU YA TUMBO NA KIUNO. 🔼KUTOKWA NA UCHAFU UKENI. 🔼KUTOKUPATA UJAUZITO. Ungana na Dr.Charles katika darasa la afya siku 30 whatsapp.. Pia utapata fursa ya kufahamu:- 👉Mafundo ya ndoa 👉Ufundi kitandani. 👉Mahaba mazito MAFUNZO YATACHUKUA SIKU 30.. Tufatilie instagram na facebook @tibuchanzo Pia tufatilie katika blog yetu👇 tibuchanzo.blogspot.com LINK ON BIO Whatsapp-0746192605 Bonyeza link hapo chini ili kujiunga sasa 👇👇👇 https://www.instagram.com/p/CKr3JgDgbgE/?igshid=bgtinedktt3d
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
KARIBU KUJIUNGA NA DARASA LA NDOA WHATSAPP..!! Utapata fursa ya kujifunza:- 👉Kunogesha ndoa na mahusiano. 👉Ufundi kitandani. 👉Afya ya uzazi kwa mama. MAFUNZO YATACHUKUA SIKU 30.. Tufatilie katika blog yetu👇 tibuchanzo.blogspot.com LINK ON BIO TUTAFUTE WHATSAPP ILI KUUNGANISHWA KATIKA GRUP LA AWALI 0746192605 #DrCharlesCEO #afya #uzazi https://www.instagram.com/p/CKheF4KAXMS/?igshid=1n8otu1bfo4hk
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Photo
Tumblr media
PROGRAM YA WATOTO (PART 1) *MAMBO 4 KUEPUSHA MTOTO KUCHELEWA KUONGEA.*✍️ Tafiti zinaonesha kiasi cha maneno yanayosikiwa na mtoto tangu akiwa mchanga kinahusiana na idadi ya maneno atakayoweza kuongea atakapotimiza miaka 2. Leo _Dr Charles_ nimewaandalia makara hii, kama wewe ni mama au mama mtarajiwa basi muhimu kufahamu, 1. Ongea na mtoto mchanga, anajifunza japokuwa hawezi kukujibu. 2. Msomee vitabu na muoneshe picha za vitu mbalimbali na kutaja majina ya hivo vitu. 3. Tumia matendo kama kumuogesha, kula, kufua n.k. kama njia ya kumfundisha majina ya matendo mbalimbali. 4. Usimweke mtoto mbele ya TV ili ufanye shughuli zako, katika umri huo haimsaidii kujifunza. Mtoto wako ameanza kuongea akiwa na umri gani? Kwa madarasa mengine kama haya usisite kututafuta whatsapp 0746192605 Pia tembelea tovuti yetu👇 tibuchanzo.blogspot.com LINK ON BIO . . #DrCharlesCEO #afya #watoto https://www.instagram.com/p/CKYvSMSgRSo/?igshid=fegwqnb135cr
0 notes
tibuchanzo · 3 years
Text
IFAHAMU PID
P
*PID (Pelvic Inflamatory Disease)*✍️
Ni mojawapo ya matatizo yanayowaathiri sana wanawake.
Maambukizi haya huusisha shingo ya kizazi (CERVIX)
Pia yanaweza kutokea kwenye nyama ya mfuko wa uzazi (ENDOMETRIUM)
Na pia kwenye mirija ya uzazi (FALLOPIAN TUBE)
*VISABABIAHI VYA UGONJWA*✍️
Huu ugonjwa husababishwa na vimelea vinavyoitwa NEISSERIA GONORRHEAE pamoja na CHLAMYDIA
*NJIA ZA MAAMBUKIZI*
🔅Ngono isiyo salama.
🔅Kutoa mimba/Njia za uzazi wa mpango
🔅Wakati wa kujifungua.
*DALILI ZAKE*✍️
👉Maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu.
👉Maumivu ya mgongo.
👉Ute mchafu na harufu.
👉Maumivu wakati wa kukojoa.
👉Hedhi isiyosawa.
👉Homa,kichefuchefu na kutapika.
👉Maumivu wakati wa tendo.
*VIPIMO VYAKE*
🔅mkojo kama ana mimba.
🔅Utando unaozunguka shingo ya kizazi.
🔅Full blood picture.
🔅Utra sound.
Ungana nasi whatsapp 0746192605
_TIBU Chanzo_
2 notes · View notes