Chest Freezer Ni freezer nzuri sana ya kisasa. Freezer hii inachaguzi mbili unaweza ukaiwasha na kuchagua kugandisha tu pia unaweza kuwasha na kuchagua fridge Yani kugandisha na kupoza. Usipitwe na mzigo huu mpya wa Ramadan si wakukisa kabisa. Inafaa Kwa matumizi ya nyumbani na biashara pia. Ni mpya Litre 116 Brand Meck Bei 500,000 Tupo Mikocheni B Mwai Kibaki Road jirani ya Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliaTz https://www.instagram.com/p/CqaB0fpt8nU/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Induction Cooker one plate Ni jiko la kisasa la umeme.Jiko hili surface yake ni matilio ya kioo na sehemu ya kubonyezea ni touch. Ni imara na rahisi kutumia hata ukimaliza kutumia kama limeangukia vyakula unasafisha Kwa wepesi kabisa. Unaweza tumia claypot,ceramic,glass, copper,cast iron, stainless steel,normal steel na aluminium non stick ni matilio ya vyombo ambavyo vinaweza kutumika kwenye jiko hili. Unatumia ofisini,nyumbani na sehemu yako ya biashara pia, kasehemu kadogo sana kamemeguka. Watts 2000 Brand Khind Bei 90,000 Tupo Mikocheni B Mwai Kibaki Road jirani ya Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliaTz https://www.instagram.com/p/CqaBYOxtoIi/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Air Cooler Ni fan ya kuleta upepo wa ubaridi. Ukiwa na hii air cooler joto utalisikia Kwa jirani. Ni nzuri na inaubaridi wa kutosha kama Ac. Inavichupa vyake ambavyo unaweza vigandisha ili kupata ubaridi zaidi na zaidi. Inasehemu ya kuswing,inatimer,inaspeed zaidi na inasehemu ya cooling na fan. Watts 90 Brand Alphafan Up to 15 hours continuous cooling Bei 300,000 Tupo Mikocheni B Mwai Kibaki Road jirani ya Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliaTz https://www.instagram.com/p/CqaA8UytcM7/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Air fryer Oven 22 liters Ni friyer ambayo ni oven pia. Unachoma nyama,kuku,samaki,miskaki pia unaoka keki,mikate,vireja,biskuti n.k pia unapika chipsi bila mafuta. Ni mpya jamani na inapatikana Kwa Bei cheeee... Watts 1650 Brand Meck Bei 285,000 Tupo Mikocheni B Mwai Kibaki Road jirani ya Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliaTz https://www.instagram.com/p/CqaAP82Npz0/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
BBQ COOKER Hii ni jiko ya kuchoma au kupika Kwa mafuta kidogo sana. Pia unaweza kutosta mkate,kuchoma nyama,kuku,samaki n.k. Wale wapenzi wa BBQ huna haja tena kwenda kwenye migahawa njoo ujinunulie kipindi hiki kuelekea sikukuu ya pasaka na Eid ufurahie na familia pamoja na marafiki nyumbani. Zipo mbili zimetumika. Watts1900 Brand Pensonic Bei 250,000 Tupo Mikocheni B Mwai Kibaki Road jirani ya Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliaTz https://www.instagram.com/p/CqZ_vNstrwd/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Glass Gas Stove Ni jiko la kioo Kwa kutumia gasi. Kama unavyoliona mteja wangu jiko lina foka linaita na kuvutia hasa ulinunua na kuliweka jikoni kwako. Matilio yake ni kioo tena kioo kizito kabisa. Unaunganisha na gesi yako kisha nakutumia ni plate mbili kama ulionavyo kwenye picha. Pendezesha jiko lako na kulifanya lionekana la kishua na bidhaa kutoka kwetu. Wahi zipo chache Brand Meck Bei 150,000 Tupo Mikocheni B Mwai Kibaki Road jirani ya Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliaTz https://www.instagram.com/p/CqZ-n0zNdr2/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road karibu na Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz https://www.instagram.com/p/Co1VexLtTvB/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road karibu na Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz https://www.instagram.com/p/Co1VQOwNpDX/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road karibu na Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz https://www.instagram.com/p/Co1U926N7Hh/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Vacuum Cleaner
Vacuum Cleaner
Hii inavuta mavumbi kwenye carpet, mazulia, madirisha ya wavu inafilter na tank la kuhifadhia mavumbi kwa mda litakapo jaa unafungua na kwenda kutupa ni nzur sana na powerful
Watts 1800
#0686979377 #0757252557
Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy
#afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz
View On WordPress
0 notes
Waffle Maker
Waffle Maker
Kwa bei ya ofa tuendele kuweka oda
Tengeneza waffles ukiwa nyumban kwa ajili ya familia yako wafanye wanao kuwa na furaha asubuh wanapo amka na kukuta delicious food mezan kila wakipendacho watoto ni muhimu sana kwa familia
Watts 1400
Brand milla home from Germany
#0686979377 #0757252557
Tupo Mikochen B Mwai Kibak Road pembeni ya Nakiete pharmacy
#afrotalia #afrotalia_international…
View On WordPress
0 notes
Electric Table Grill
Electric Table Grill
Grill ambayo ni rahis kuitumia, unaweza kuchoma nyama, samaki, kuku pia hii grill unaweza kufanya toast ya mkate kwa haraka bila kupoteza mda ni nzur sana ni mpya kabisa lakin imevunjika kwenye mkono wake
Brand Raven
Watts 900
#0686979377 #0757252557
Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy
#afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaaliaTz
View On WordPress
0 notes
Air Fryer
Air fryer unatumia kupika chips, kuchoma, nyama bila ya kuweka mafuta, pia unaweza kubak cake kwenye hii air fryer ni nzur sana, kwa bei rahisi zaid
Wahi haraka air fryer ni chache sana
Air fryer ni mpya kabisa
Watts 2400
Lita 6
Brand Silver Crest
#0686979377 #0757252557
Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy
#afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania#afroboel…
View On WordPress
0 notes
Oven Liter 200
OVEN LITER 200
Hii oven ni kubwa inafaa kwa biashara ya bakery pia unaweza kuchoma nyama, kuku, kubake cake ni convection oven, inajiko juu na chini ambayo yoye ni oven hii unaijengea ndo inapendeza zaid
View On WordPress
0 notes
FRIJI DOUBLE DOOR
FRIJI DOUBLE DOOR BAUKNECH
Pata friji bora kwa bei chee zaid yaan ofa ya mwezi wa kwanza rangi yake ni halisi ya kiwandan haijafanyiwa polish
Juu inapooza na chini inagandisha
Ina shelves zote za juu na chini
View On WordPress
0 notes
Room Heater
Room heater
Je hujajua wapi kwa kupata heater za joto msimu wa baridi ? Afrotalia inamajibu ya maswali yako yote sasa zimekuja chache sana kwa bei cheee zaid, wahi mapema kabla hazijaisha, hizi zinatumika maeneo ya baridi, wajasiriamala wa kuku (broiler)
Brand Raven from Germany
Watts 2000
View On WordPress
0 notes
Rice Cooker
RICE COOKER
Wale single hii inawafaa sana kupikia wali
Jaman haka ni kazuri sana ni kadogo kwa ajili ya mtu mmoja tu
Ni nusu kilo
Brand sencor
Watts 300
View On WordPress
0 notes