Tumgik
#boergoats
opbevaringsrum · 11 months
Text
Boergeder er skønne, søde dyr som kan bruges til naturpleje og som giver fantastisk gedekød
0 notes
schleichoftheday · 2 months
Text
Tumblr media
Today's Schleich is:
13259 Boergoat Nanny [2002 - 2008]
33 notes · View notes
lord-allo · 1 year
Text
Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media
Burenziegen | Boer goats
Capra aegagrus hircus
3 notes · View notes
joackcompanytz · 3 months
Text
Tumblr media
TUNAUZA MBUZI WA NYAMA WA AINA YA BOER GOAT KUTOKA SOUTH AFRICA °° I °° WE SELL BEEF GOAT
Fahamu kuhusu Boer Goats °I° Mbuzi wa nyama °I° Mbuzi Wanaozaa Mapacha
Call/Text/WhatsApp: 0714 63 63 75
@joackcompany @mifugo_tz @kilimo_tz @afyakiganjani
ASILI
Kiasili ni #mbuzi wa Afrika ya kusini ingawa ndani yake kuna damu toka bara Ulaya na India
Hii ndio mbegu kubwa Zaidi ya mbuzi wa nyama ukilinganisha na wengine.
Pia wanazalisha kiwango kikubwa cha maziwa ingawa wanafaa zaidi kwa nyama.
RANGI
Wana mwili wenye rangi nyeupa na kichwani wana rangi nyekundu au hudhurungi (brown) ingawa wapo weupe kabisa au wekundu/hudhurungi kabisa na hii hutokea kwa 0.001%
UMBO
Wana umbo kubwa kufikia kilo 110-135 kwa madume Kilo 90-100 kwa majike
Wana masikio yaliyolala kama #mbuzi wa kinubi (Nubians)
UZAZI
Huwa wanazaa mapacha na huweza kuzaa mara 2 kwa mwaka
Majike ni wazazi na walezi wazuri wa watoto sababu wana maziwa ya kutosha.
Watoto hukua haraka sana, na nia aina ya mbuzi ambao sio wakorofi (docile)
Kwenye baridi kali au joto kali huwa inawaathiri kwenye kubeba mimba.
#mbuzi #mbuziwanyama #nyama #boer #boergoats #mbuziainayaboergoat #beefgoat #boaergoat
Mbuzi hawa wanasifa nyingi ila hizo ni chache tu, kama unahitaji aina hii ya mbuzi wasiliana nasi kupitia
Office zetu zipo Tegeta, @Wazohill-Barabara ya kwenda kiwanda cha @twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 714 63 63 75(WhatsApp)
+255 692 43 02 63
Email:
YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac
Website link: https://joackcompany.business.site/
Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9
#mifugo #mifugotz #kilimotz #ufugaji #kuku #broiler #tanzania #incubator #mbuzi #mbwa #daressalaam #morogoro #tanzania #kuchi #kilimoufugaji #mwanza #dodoma #ufugajiwambuzi #magonjwayambuzi #mbuziwakisasa
0 notes
cherry-flavored-sigh · 4 months
Text
*sobs*
goats are so wonderful................ i want to kiss one!!!!
0 notes
joackcompany · 2 years
Text
TUNAUZA MBUZI WA NYAMA WA AINA YA BOER GOAT KUTOKA SOUTH AFRICA | WE SELL MEAT GOAT
Tunao Pure 100% Boer na Chotara wa 50% Boer goats
Call/Text/WhatsApp: +255 714 63 63 75
@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @afyakiganjani @joackagrovet
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo
Fahamu kuhusu Boer Goats (Mbuzi wa nyama) Mbuzi Wanaozaa Mapacha
ASILI
Kiasili ni #mbuzi wa Afrika ya kusini ingawa ndani yake kuna damu toka bara Ulaya na India
Hii ndio mbegu kubwa Zaidi ya mbuzi wa nyama ukilinganisha na wengine.
Pia wanazalisha kiwango kikubwa cha maziwa ingawa wanafaa zaidi kwa nyama.
RANGI
Wana mwili wenye rangi nyeupa na kichwani wana rangi nyekundu au hudhurungi (brown) ingawa wapo weupe kabisa au wekundu/hudhurungi kabisa na hii hutokea kwa 0.001%
UMBO
Wana umbo kubwa kufikia kilo 110-135 kwa madume Kilo 90-100 kwa majike
Wana masikio yaliyolala kama #mbuzi wa kinubi (Nubians)
UZAZI
Huwa wanazaa mapacha na huweza kuzaa mara 2 kwa mwaka
Majike ni wazazi na walezi wazuri wa watoto sababu wana maziwa ya kutosha.
Watoto hukua haraka sana, na nia aina ya mbuzi ambao sio wakorofi (docile)
Kwenye baridi kali au joto kali huwa inawaathiri kwenye kubeba mimba.
#mbuzi #mbuziwanyama #nyama #boer #boergoats #mbuziainayaboergoat #beefgoat #boaergoat
Mbuzi hawa wanasifa nyingi ila hizo ni chache tu, kama unahitaji aina hii ya mbuzi wasiliana nasi kupitia
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 714 63 63 75 (WhatsApp)
+255 692 43 02 63
Email:
YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac
Website link: https://joackcompany.business.site/
Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9
#joackcompany #mifugo #mifugotz #kilimotz #ufugaji #kuku #broiler #tanzania #incubator #mbuzi #mbwa #daressalaam #morogoro #kilimoufugaji #mwanza #dodoma #ufugajiwambuzi #magonjwayambuzi #mbuziwakisasa #tanzania🇹🇿
JOACK Company LTD | DSM & Bagamoyo
Tumblr media
0 notes
Photo
Tumblr media
Emma is so precious. I was adjusting her wheelchair and she made her way into my lap. It's difficult for her to get around, so for her to make the decision and effort to climb into my lap was so heartwarming. Gosh is she special. She tries so hard and never gives up. #Mountain #View #Sanctuary #MountainViewSanctuary #vegan #animal #animalsanctuary #buddhist #rescue #cute #viral #trending #goat #goats #wheelchairlife #babygirl #goatsofinstagram #boergoats #CO #Colorado #animallovers #sanctuarylife #nonprofit #nonprofitorganization #donate #emma #wheelchair #specialneeds #handicappedpets #babyanimals https://www.instagram.com/p/COajc0qjoQ-/?igshid=1q0ac1at2sjlt
22 notes · View notes
crazygoatadventures · 4 years
Text
Tumblr media Tumblr media
Daisy’s 2 faces: beautiful & silly
Follow the goats on Instagram @TheCarsonFarm
32 notes · View notes
cheeseacresfarm · 4 years
Photo
Tumblr media
Really dudes? There were 2 rolls of peanut hay here 2 weeks ago. What the heck?? What ya gonna eat now? 🤦‍♀️ #goats #theyeatalot #boergoats #goatfarm #farmlife #weneedtogrowpeanuts #Homesteading #farmstead #cheeseacres https://www.instagram.com/p/CG8dA5CAfuU/?igshid=k3i1tbaxcx8x
1 note · View note
andykarras · 5 years
Photo
Tumblr media
www.karrasfarm.com #goats #boergoats #dappledboergoat #dappledgoats #superiorgoatgenetics #thesymbolofexcellence #passionforgoats #thebestofthebest #thebestintheworld #boergoatsoftheusa #karrasfarm https://www.instagram.com/p/B9_2Lk2lI6i/?igshid=2wzw7pazsg1b
1 note · View note
bleatsandmoosgalore · 6 years
Text
Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media
Fun in the snow!!
5 notes · View notes
wittlegoatbleats · 6 years
Text
Tumblr media
My airplane-eared babe, Belle 😘
37 notes · View notes
schleichoftheday · 2 months
Text
Tumblr media
Today's Schleich is:
13258 Boergoat Billy [2002 - 2008]
29 notes · View notes
lord-allo · 1 year
Photo
Tumblr media Tumblr media Tumblr media
Burenziegen | Boer goats
Capra aegagrus hircus
1 note · View note
joackcompanytz · 3 months
Text
TUNAUZA MBUZI WA NYAMA WA AINA YA BOER GOAT KUTOKA SOUTH AFRICA °° I °° WE SELL BEEF GOAT
Fahamu kuhusu Boer Goats °I° Mbuzi wa nyama °I° Mbuzi Wanaozaa Mapacha
Call/Text/WhatsApp: 0714 63 63 75
@joackcompany @mifugo_tz @kilimo_tz @afyakiganjani
ASILI
Kiasili ni #mbuzi wa Afrika ya kusini ingawa ndani yake kuna damu toka bara Ulaya na India
Hii ndio mbegu kubwa Zaidi ya mbuzi wa nyama ukilinganisha na wengine.
Pia wanazalisha kiwango kikubwa cha maziwa ingawa wanafaa zaidi kwa nyama.
RANGI
Wana mwili wenye rangi nyeupa na kichwani wana rangi nyekundu au hudhurungi (brown) ingawa wapo weupe kabisa au wekundu/hudhurungi kabisa na hii hutokea kwa 0.001%
UMBO
Wana umbo kubwa kufikia kilo 110-135 kwa madume Kilo 90-100 kwa majike
Wana masikio yaliyolala kama #mbuzi wa kinubi (Nubians)
UZAZI
Huwa wanazaa mapacha na huweza kuzaa mara 2 kwa mwaka
Majike ni wazazi na walezi wazuri wa watoto sababu wana maziwa ya kutosha.
Watoto hukua haraka sana, na nia aina ya mbuzi ambao sio wakorofi (docile)
Kwenye baridi kali au joto kali huwa inawaathiri kwenye kubeba mimba.
#mbuzi #mbuziwanyama #nyama #boer #boergoats #mbuziainayaboergoat #beefgoat #boaergoat
Mbuzi hawa wanasifa nyingi ila hizo ni chache tu, kama unahitaji aina hii ya mbuzi wasiliana nasi kupitia
Office zetu zipo Tegeta, @Wazohill-Barabara ya kwenda kiwanda cha @twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 714 63 63 75(WhatsApp)
+255 692 43 02 63
Email:
YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac
Website link: https://joackcompany.business.site/
Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9
#mifugo #mifugotz #kilimotz #ufugaji #kuku #broiler #tanzania #incubator #mbuzi #mbwa #daressalaam #morogoro #tanzania #kuchi #kilimoufugaji #mwanza #dodoma #ufugajiwambuzi #magonjwayambuzi #mbuziwakisasa
Tumblr media
0 notes
maisie-allie-blog · 7 years
Video
instagram
Babysitting these 2 sweet babies for another farm. Their momma died when they were 2 days old and now they’re 2 weeks old. I was doing daycare but we’ve all decided it would be best if they stayed here for awhile. No need to keep them in the house cuz we have a large air conditioned storage room where their playpen is and they’re safe in there. #Goat #goats #goatlove #goatlover #rescuegoats #boergoats #nubiangoats #maisieallie #2spoiledislandgoats #goat🐐 #goatsofinstagram #babygoats #cutegoats #goatmom #goatsmilk #rescuegoat (at Creek, Cayman Islands)
230 notes · View notes