BASHUNGWA:FUATILIENI MALALAMIKO YA POSHO ZA KUJIKIMU KWA WAAJIRIWA WAPYA
Kwa habari za Elimu, Ualimu na Walimu fuatilia ukurasa huu ili ujifunze mambo mbalimbali pia tembelea ukurasa wetu wa Youtube (www.youtube.com/jiandae) kwa Mafundisho ya Kukujengea ufundishaji bora. WhatsApp?: 0674141209.
Kutoka: OR –TAMISEMI (Facebook Page)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa amemuagiza Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia Elimu, Dkt. Charles Msonde kuhakikisha anafuatilia malalamiko ya waajiriwa wapya 9,800 kuhusu posho za kujikimu na viwango vya malipo vinavyotolewa.
Ametoa maagizo hayo Septemba 28, 2022…
Right!! It’s such a beautiful record but also just so unique it’s hard to find anything all that similar. But other electronic/ambient albums that kind of reach that level of perfection for me are Anadol’s Uzun havalar, Beverly Glenn copeland’s Keyboard fantasies, Insides’ Euphoria, Jon hassle’s Maarifa street, AF13’s Milan, tujiko noriko’s U, and Susumu Yokota’s Sakura
Thank you; I’ll add these to my wishlist. I think the only one I’ve heard is Sakura but I know I need to relisten to it.
.......Hamjafanya vita hata kumwagika damu, mkishindana na dhambi;........
........ Ebrania 12:4.......
Ulimwenguni yapo mashindano mengi sana yenye faida na hasara, kadhalika na maswala ya Rohoni yapo mashindano yenye faida na hasara.
Kwa Wakristo pia yapo mashindano yanayoonekana yana faida sana kiasi kwamba tunaona yana faida kubwa kumbe yamepakwa rangi nzuri kwa nje ila ni hasara kubwa.
BWANA YESU alilijua hili akauliza swali..... Mtu utakuwa na faida gani ukiupata ulimwengu mzima, ukaukosa Uzima wa milele?...... Hili ni swali tumelisahau au hata kama tunalikumbuka hatutoi majibu sahihi ya MUNGU, bali tunatoa majibu mengi ya kujifariji.
Ndio maana angalia mashindano tuliyonayo kwa mifano hii,
1....Mtu yupo anaomba na kupambana na roho za umaskini, Lakini hafungi na kuomba kuishinda dhambi....
2...Mtu anaomba na kufunga ili afanikiwe na kustawi katika maisha yake, Lakini hayupo tayari kufunga na kuomba na kuingia Gharama ya kuacha dhambi.....
3....Mtu yuko tayari kutumia gharama ili kupata maarifa ya huduma yake, Lakini hayupo tayari kutumia gharama kupata maana namna ya kuishinda dhambi.....
1. Limeandikwa..... "NAMNA YA KUFANIKIWA KIROHO NA KIMWILI....
2. Lingine limeandikwa...... "NAMNA YA KUISHINDA DHAMBI ILI UFANIKIWE KIROHO NA KIMWILI".....
Unafikiri kati ya mikutano hiyo miwili upi utakuwa na watu wengi sana? (wa kwanza au wa pili na kwa nini?)
ZINGATIO.
Kupambana ili ufanikiwe ni vizuri, Lakini kupambana ili kuacha dhambi ni vizuri zaidi sana....
Kwa sababu ukiachana na dhambi unajenga urafiki na BWANA YESU mwenye vitu unavyovitafuta kwa hiyo utavipata yaani vitakufuata kwa sababu unaye mwenye vitu.
Lakini
Ukitafuta vitu, ukiwa na dhambi, utavipata vitu na kuikosa Mbingu kwa sababu, Wewe ni adui wa BWANA YESU mwenye Mbingu ya kukupeleka.
Funga na kuomba kuache dhambi ili uwe na BWANA YESU mwenye mafanikio unayoyatafuta, Amina.
Rejea
"You have not yet struggled to the point of shedding blood in your striving against sin"
On this date in 1971, Paul McCartney released his second studio album, Ram.
It is of course famously and uniquely credited to Paul and his wife, and I wonder whether Paul's decision to credit Linda had anything to do with the poor initial critical reception it received. Maybe, maybe not, but it's a thought I've had.
On the 17th of May, 1988, Run-DMC laid upon us Tougher Than Leather, their fourth album. and best IMHO.
On this date in 2005, American trumpeter Jon Hassell released his thirteenth album, Maarifa Street.
And,
On the very same day of the very same year, but in another place entirely, Nü-metal act System of a Down dropped their fourth album, Mezmerize.
Mwalimu Nyerere akieleza bayana tofuati kati ya ujinga na upumbavu. Ujinga ni kutojua na huondolewa na maarifa. Ilhali, upumbavu ni kipaji cha kiasili wanachozaliwa nacho watu sawa sawa na vipaji vingine kama urefu, ufupi, nk.
Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda. Na roho ya Bwana atakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha Bwana; na furaha yake itakuwa katika kumcha Bwana; wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake; bali kwa haki…
Al Maarifa Electrical & Building Maintenance Company | Juma Al Majid Holding Group
Al Maarifa Mechanical, Electrical & Building Maintenance is one of the leading building maintenance and facilities management companies in the UAE today.
Hali hiyo ipo pia kwa Kibu Dennis ambaye uchezaji wake wa kasi, nguvu na kujituma kumempa nafasi ya kuonekana kwenye kikosi cha Simba mara kwa mara….
Tumefuzu mashindano ywa AFCON kwa namna yake. Jitihada, nguvu, maarifa na mkakati wa kuacha kuremba remba ulivisaidia Taifa Stars kupiga hatua mbele zaidi ya majirani zake Uganda maarufu kama The Cranes. Kati ya wachezaji wengi waliotoa mchango…
Juma Al Majid Group collaborates with world-class manufacturers, delivering cutting-edge mobility solutions. Al Maarifa, established in 1997, is a leading building maintenance and facilities management company in the UAE, offering comprehensive services for residential and commercial projects.