Tumgik
#msina
nunoxaviermoreira · 4 years
Photo
Tumblr media
MS INA by Lutz Blohm Schüttgutfrachter bei Speyer auf dem Rhein zu Tal https://flic.kr/p/2iTx471
0 notes
mazallaposts · 7 years
Link
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dkt. Julian Raphael Banzi akitoa hotuba ya ufunguzi wa warsha kwa waandishi wa habafri za Uchumi Biashara na Fedha mkoani Mtwara leo Februari 5 2018. NA K-VIS BLOG/Khalfan Said Mtwara WAANDISHI wa Habari za uchumi na Fedha wameaswa kutumia kalamu zao vema ili kuongeza tija katika jitihada za serikali za kujenga uchumi wa viwanda nchini ifikapo mwaka 2025 Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dkt.Julian Raphael Banzi amesema leo Februari 5 2018 wakati akifungua semina ya waandishi wa habari za Uchumi Biashara na Fedha kwenye ukumbi wa BoT mkoani Mtwara. Waandishi mnao wajibu wa kuamsha ari ya uelewa kwa wananchi kuwaelimisha nini serikali inafanya kwa ajili ya nini na kwa utaratibu upi. Alisema Dkt. Banzi na kuwaasa badala ya waandishi kutumia muda mwingi kuandika maswala ambayo hayasaidii sana katika kusaidia ujenzi wa uchumi ni vema sasa wakaangazia katika kuelimisha umma juu ya jitihada za serikali wakati huu ambapo kuna utekelezaji wa miradi mbali mbali ya kiuchumi kama vile jenzi wa reli ya kisasa (SGR). Naibu Gavana pia amewataka waandisjhi wa habari kuwafichua wale wanaokatisha tama au kukwamisha uwekezaji nchini kwani kwa kutofanya hivyo waandishi wa habari watakuwa hawawatendei haki wananchi na umma kwa ujumla. Alisema kuwa BoT inaposema pato la taifa limeongezeka haimaanishi kwamba wananchi wanajazwa pesa mfukoni lakini pia mwananchi inabidi ajiulize yeye mwenyewe anashiriki vipi katika ujenzi wa uchumi ili kuweza kufaidika na pato lenyewe. Kwa msingi huo elimu mtakayopata hapa katika kipindi cha siku tano itawaongezea uwezo wa kufanya uchambuzi wa kina mnapoandika makala ze uchumi biashara na fedha ili ziweze kuufikia umma kwa usahihi na kuepuka upotoshaji. Alisema Dkt. Banzi. Kwa upande wake Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Itifaki cha BoT Bi. Zalia Mbeo alisema semina hii ni ya tano ambazo BoT imekuwa ikifanya kila mwaka ili kujenga uelewa kwa waandishi kuweza kuandika kwa usahihi shughuli za BoT. Tumezidi kuona mafanikio makubwa tangu tuanze kutoa semina kwa waandishi wa habari kwa waandishi wamekuwa wakijitahidi kuandika kwa usahihi taarifa za BoT. Alisema. Bi Mbeo pia alisema katika semina ya mwaka huu waandishi watapata fursa ya kuelimishwa mambo mbalimbali kutoka Kurugenzi ya sera na tafiti za uchumi kurugenzi ya masoko ya fedha kurugenzi ya usimamizi wa mabenki kurugenzi ya huduma za kibenki na kurugenzi ya mifumo ya malipo na pia kuna ushiriki kutoka kurugenzi ya bima ya amana. Mwaka huu tuna kurugenzi ya Katibu wa Boadi ambayo itaelezea dawati ambalo linashughulikia matatizo ya watu wanayoyapata katika huduma mbalimbali za kibenki na kwa kupitia waandishi wa habari tunategemea wataelimisha umma kuhusu dawati hili. Alisema Bi. Mbeo. Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dkt. Julian Raphael Banzi akitoa hotuba ya ufunguzi wa warsha kwa waandishi wa habafri za Uchumi Biashara na Fedha mkoani Mtwara leo Februari 5 2018. Wengine pichani kutoka kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania Bi. Zalia Mbeo na Mwenyekiti w aSemina Bw. Ezekiel Kamwaga Baadhi ya waandishi wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi. Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia yaliyokuwa yakizungumzwa kwenye warshan hiyo Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Itifaki BoT Bi. Zalia Mbeo akielezea maudhui ya semina hiyo ambayo itafanyika kwa siku tano kuanzia leo Februari 5 2017. Meneja wa tawi la Benki Kuu ya Tanzania Mkoani Mtwara Bw.Lucas Mwimo akitoa hotuba ya ukaribisho Bi.Vicky Msina kutoka Kitengo cha Uhusiano na Itifaki BoT. akizunguzma mapema wakati wa ufunbguzi wa warsha hiyo. Bi.Vicky Msina kutoka Kitengo cha Uhusiano na Itifaki BoT. akizunguzma mapema wakati wa ufunbguzi wa warsha hiyo. Baadhi ya washiriki Mwenyekiti wa Warsha hiyo Bw. Ezekiel Kamwaga akitoa hotuba yake. Dkt. Banzi akipeana mikono na Mkurugenzi wa Mkurugenzi wa Uchumi BoT Bw Johnson Nyella Dkt. Banzi (katikati) Bi Zalie na Bw.Mwimo Maafisa waandamizi wa BoT. Mkurugenzi wa Uchumi BoT Bw Johnson Nyella akitoa Mada ya Mabadiliko ya mfumo wa kuandaa sera ya fedha ambapo pamoja na mambo mengine alisema pato la taifa ni mjmuiko wa thamani ya vitu vyote vilivyozalishwa katika uchumi kwa kipindi husika. Meza kuu
0 notes
Text
Sve sezone "Opakih služavki" na Pickbox-u!
Četiri služavke latino porekla rade za najbogatije porodice na Beverli Hilsu, znaju sve njihove (prljave) tajne i sanjaju o boljem životu i sopstvenom biznisu. Od danas možete da uživate u svim epizodama!Foto: Pickbox Šta sve podrazumeva posao služavke na Beverli Hilsu? Čišćenje prašine, pranje veša, pospremanje kreveta, glancanje srebrnine? Ili čišćenje posle razuzdanih zabava milijardera i zadovoljavanje intimnih potreba poslodavaca. Paula Garses tumači služavku Floru Hernandez čiji poslodavac umire nasilnom smrću. U međuvremenu, Zoila Dijaz (Džudi Rejs) želi da poštedi svoju poslodavku Ženeviv Delatur (Suzan Luči) od kraha života dok istovremeno pazi na svoju ćerku Valentinu (Edurne Ganem) koja se zaljubila u sina Delaturove. U kući pevača Alehandra Rubija (Met Sedenjo), seksepilna Karmen (Rozlin Sančez) pokušava da nagovori svog šefa da joj pomogne oko njene muzičke karijere. Rouzi (Danija Ramirez) radi u disfunkcionalnoj porodici i u isto vreme pokušava da dovede svog msina iz Meksika u SAD. Nova služavka Marisol Duarte (Ana Ortiz) počela je da radi za tek venčane Stapordsove… Kreator serije je Mark Čeri, tvorac televizijskog hita "Očajne domaćice", dok je jedna od izvršnih producentkinjca glumica Eva Longorija, zvezda "Očajnih domaćica" koja se Opakim služavkama pojavila u kameo ulozi kao fiktivna verzija same sebe. Longorija je portretisala jednu od glavnih protagonistkinja Gabrijel Solis – koja je i jedna od glavnih likova iz Očajnih domaćica. Sve sezone Opakih služavki dostupne su od danas na Pickboxu. Za slične sadržaje posetite pickbox.tv i pickbox.rs i proverite bogatu ponudu najnovijih hit serija poput serija "Skandal", "Uvod u anatomiju" i "Nešvi". Let's block ads! (Why?)
0 notes
kallistikallisti · 7 years
Text
Ey Kelebek !
Sen onun için bir kanattın Dedi vurdum duymaz, dostuna Ey kelebek beni neden kanattın ? Dost benim. Ama sen cevap ver Benim yerime şu vurdum duymaz dostuna   Lazım da mı olmayacağım hiç ona?  Nereden bilebilirdim ki ? Kendinden o diye bahseden vurdum duymaz bir dost Görsem kanayan kanatlarını belki sorardım böyle Nereden? Bilebilirdim ki gerçi sormadan. Sormadım. Belki de görmediğimden değil bildiğimden. Belki de zaten bendim kanat, olmuştum çoktan sormadan. Uçacaktık bildiğim denizlerden görmediğim denizlere Kanatsız kalma sen. Uç kelebek sev sevil Çiçeklere kon, durma yerinde Kötülüğü kondurma sevdiğine Şüpheye vakit kalmayacak şu kısa ömründe Yapma bu kötülüğü yapma en güzel hissine İçinde bir ses, kulak ver Acaba dünyanın en güzel hissi ne ? Sevmek ? Sevilmek ? Sev o zaman şüphe duymadan, kaybetmeden vakit Acemi bir çaylak gibi aylaklık edip ayıp etmeden ve onu kaybetmeden tabii Sen de kimsin demeden. Ey kelebek! Sendeki msina kadar ince düşünce ve yüreklerin en güzeli Kimsede yok bilir misin Kimse de yok zaten sen gibi Yeter mi ömrün yapabilir misin Desem ki sana En güzeli sen.. Sen şöyle yap En güzeli sensin ve şöyle yap Kanat çırp güzelliklere ve kanat gerekirse Kanatlarını çırpmaktan ve kanat gerekirse Kanat olacaktır sana güzelliklere çırpmaktan kanattığın kanatlar
0 notes