Tumgik
#daktari wa mapenzi
Text
……….How to become a member of Freemason ….
The Grand Lodge of Massachusetts welcomes those qualified men who are interested in the possibility of joining our ranks — to become a member of a Fraternity whose members and principles have shaped our country and our history. Men age 18 and older who believe in a Supreme Being and meet the qualifications and standards for membership are eligible to petition a Lodge. We welcome men of every…
View On WordPress
0 notes
Text
Usisite kamwe ukiwa na tatizo lolote au Magonjwa Sema na DAKTARI YUSUF HAMZA KIENYEJI 📞+254748803843🇰🇪🇰🇪anaye tatua matatizo ikiwemo ya;
📍Mapenzi
📍Biashara
📍Nguvu za kiume
📍Kesi Kortini
📍Tego
📍Kupandishwa cheo kazi
📍Mvuto wa mali
📍Kizazi na kadhalika wasiliana nami kupata Tiba mwafaka 📞+254748803843 au 📞+254792440958
Tumblr media
2 notes · View notes
Text
MGANGA WA MAPENZI KENYA DR. KASOKI
PATA USAIDIZI KWA SHIDA ZA MAPENZI NA NDOA KUTOKA KWA DAKTARI WA MAPENZI KASOKI 📞 0758997626
0 notes
witch-doctor-kasoki · 7 months
Text
MGANGA WA MAPENZI KENYA KASOKI
DAKTARI KASOKI 📞 0758997626. (Mapenzi, Ndoa, Biashara, Kesi, Uchawi, Kazi, Madeni, Nuksi, Maadui)
1 note · View note
mgangawamapenzi · 1 year
Text
Mganga kutoka kitui | mganga wa kienyeji
Tumblr media
Mganga kutoka kitui | mganga wa kienyeji
DAKITARI WA KIENYEJI (Call or WhatsApp us on +254700705622) DAKITARI SHEIKH ISMAIL MUTABIBU WA MADAWA ZA KIASIRI MUTALAMU WAKUTIBU SHIDA NA MAGNJWA KUONA YA KWAMBA UNA FAULU KWA SHIDA YAKO AU MAGONJWA NA KAMA VILE; ✓• Kurudisha Mpenzi Kupendwa Zaidi Kurudisha Kilicho Potea Nguvu Za Kiume Dawa Ya Kuongeza ume Dawa Ya Biashara Dawa Ya Kumaliza Kungorota Kukinga Boma Kupata Cheo Kazini Tasa Kesi Kotini Kurudisha Mpenzi Au Kupendwa Zaidi Kushika Wezi Wakikula Nyasi Au Kufatwa Na NyukiKufunga Mpenzi WakoDawa Ya Kuvuta Wateja Kwa Biashara (Call or WhatsApp us on +254700705622)
Mganga wa mapenzi Kenya, Daktari Sheikh Ismail ndiye Mganga hatari wa Mapenzi mombasa, kitui, Nakuru, Bungoma na Kenya Nzima, mganga Ismail Amejulikana na hatakutambulika Kenya na Africa kote Kama Mganga hatari, mganga mashuhuri, na Mganga Nambari moja , mganga wa kienyeji ya Mapenzi Pia anauwezo wa kutatua matatizo mbali mbalikama vile Dawa ya Biashara, Dawa ya kushi kawezi, kifafa kurudisha chochote kilichopotea nguvu za kiume na mengi ZAIDI , mutafute Mganga waganga,Mganga hatari wa mapenzi Daktari Sheikh Ismail leo kwa mafanikio
Call or WhatsApp us on +254700705622
0 notes
afrojuke · 4 years
Text
Mzee Yussuf – Daktari wa Mapenzi (MP3 Download)
https://ift.tt/3tlGmk0
Welcome back, It’s a unusual day and we are pleased to ship you a unusual hit song titled Daktari wa Mapenzi mp3 Download by Mzee Yussuf. Revel in! RELATED: Zuchu Toes Khadija Kopa – MAUZAUZA (Prod. Mocco Genius)
AfroJuke - Download Mp3, Latest Naija Music, Latest Bongo flava, South African, Ghana Music & More!
from AfroJuke https://ift.tt/2OUDPOK
1 note · View note
bluelandland · 4 years
Text
Je ni kweli Upendo hutoweka baada ya kufunga ndoa?
“Hivi ni kweli mapenzi hutoweka baada kuingia katika ndoa?, Jambo gani ambalo hufanya wanandoa wengi kuhisi kuwa mapenzi yao yamekwisha mara baada ya kuingia katika ndoa?”
Tweet
Bwana mmoja huko Dallas, Marekani amewahi kufunga Ndoa mara tatu katika nyakati tofauti tofauti lakini zote hazikuwahi kudumu, hivyo akaamua kwenda kumwona Daktari Carry Chapman mtaalamu na mshauri wa masuala ya…
View On WordPress
0 notes
mazallaposts · 6 years
Quote
 Kaimu mkurugenzi mtendaji wa Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS ),Jumanne Issango ,akifungua mkutano ulioandaliwa na Tume hiyo kwa lengo la kupitia mipango kazi ya utekelezaji wa afua za ukimwi kwa asasi mwamvuli, mitandao ya watu wanaoishi na virusi/ Ukimwi pamoja na sekta binafsi, Mjini Kibaha Mkoani Pwani  Baadhi ya washiriki wakisikiliza jambo kwa makini wakati wa mkutano ulioandaliwa na Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kwa lengo la kupitia mipango kazi ya utekelezaji wa afua za ukimwi kwa asasi mwamvuli, mitandao ya watu wanaoishi na virusi/ Ukimwi pamoja na sekta binafsi, Mjini Kibaha Mkoani Pwani. Picha ya pamoja ya washiriki waliohudhuria mkutano ulioandaliwa na Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kwa lengo la kupitia mipango kazi ya utekelezaji wa afua za ukimwi kwa asasi mwamvuli, mitandao ya watu wanaoishi na virusi/ Ukimwi pamoja na sekta binafsi, Mjini Kibaha Mkoani Pwani. Picha na Mwamvua Mwiny-Mtazamo News ……… Na Mwamvua Mwinyi, Pwani TUME ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), imeitaka jamii kukataa maambukizi mapya ya Ukimwi pamoja na taasisi mwamvuli kuhakikisha zinapanga mipango mkakati ili kuondokana na maambukizi hayo ifikapo 2030. Aidha imewaasa wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi, kutumia dawa za kufubaza virusi hivyo (ARVs) kikamilifu, badala ya kukatisha dozi na kukimbilia kwa waganga wa kienyeji, kwani kwa kufanya hivyo kusababisha madhara na vifo dhidi yao. Hayo yalisemwa na kaimu mkurugenzi mtendaji wa TACAIDS ,Jumanne Issango ,wakati akifungua mkutano ulioandaliwa na Tume hiyo kwa lengo la kupitia mipango kazi ya utekelezaji wa afua za ukimwi kwa asasi mwamvuli, mitandao ya watu wanaoishi na virusi/ Ukimwi pamoja na sekta binafsi, Mjini Kibaha Mkoani Pwani. Issango alibainisha, malengo ya kitaifa ni kuwa na 90 tatu, ambapo  asimilia 90 ya kwanza ni ya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi nchini ambao bado hawajajitambua afya zao kuhakikisha wawe wamepima ifikapo mwaka 2020. Pia ,wanaoishi na virusi vya ukimwi ifikapo 2020 wawe wameingia katika kutumia dawa za kufubaza VVU na ifikapo mwaka huo asilimia 90 ya ambao wanatumia dawa hizo wawe na virusi vilivyokuwa tayari vimefubaa. Kwa mujibu wa kaimu huyo, malengo hayo ni makubwa na ndio maana wameitana ili kila mmoja katika asasi yake aone namna watakavyoshirikiana kutimiza 000 na ifikapo 2030 kuondoa maambukizi mapya ya UKIMWI,Unyanyapaa na Vifo. Alisema waliogundulika na maambukizi ya VVU ni vyema wakafuata masharti ya daktari na kutumia dawa bila kufanya mzaha wala ajizi. Issango alieleza ,wapo baadhi ya wenye virusi hivyo, ambao hawakuona umuhimu wa kufuata masharti wanayopewa jambo limewasababishia kupoteza maisha yao. “Sio rahisi kumaliza ukimwi kabisa ifikapo 2030 lakini kwa kufanya kazi kwa makundi yote ,kupima afya zetu bila uoga, kuacha kuambukizana kwa makusudi, kutumia dawa kikamilifu, kuacha ngono zembe ,kwa hakika tutafikia malengo hayo”alisisitiza Issango. Alieleza , malengo ya kitaifa ni kufikia watu katika upimaji na kuwaingiza katika dawa na kuhakikisha kunakuwa na ufuasi mzuri wa matumizi mazuri ya dawa hizo. Nae Mwenyekiti wa chama cha walimu wanaoishi na VVU/UKIMWI (TAPOTI –Taifa) Mwl.Helen Masao, alisema walimu wengi ni waoga wa kupima afya zao.Alisema wapo ambao wameshapima lakini wanapenda kuhahama kwenye CTC walizoanza na kuhamia kwenye maeneo ,ama wilaya na mikoa mingine kwa lengo la kujificha wasijulikane. Masao alisema hali hiyo inasababisha baadhi ya walimu hao kuambukiza wengine ama wanafunzi ambao wanakubaliana kwenye mahusiano ya kimapenzi. Aliishukuru CWT kwa ushirikiano wao na kuitaka kuendelea kutambua na kujali walimu walio na maambukizi ya virusi vya Ukimwi . Kwa upande wake, mkurugenzi mtendaji mtandao wa wanawake wanaoishi na VVU Tanzania ,Joan Chamungu alieleza asasi yao ikabiliwa na changamoto ya raslimali fedha, watu kuuzoea Ukimwi kuuona ni ugonjwa wa kawaida na Unyanyapaa has Vijijini. Mwakilishi kutoka Restless Development Youth Organization ,Chuo kikuu cha ardhi Dar es salaam ,Bi Salome Jacob alisema baadhi ya vijana wanapata maambukizi mapya ya Ukimwi kutokana na tamaa na wengine kushawishika kufanya mapenzi na walimu ili kufaulishwa katika masomo yao. “Wanafunzi wa kike vyuoni wapo wanaoshinikizwa kufanya tendo la ndoa na walimu ambao wengine tayari wameambukizwa, hivyo kusababisha mlolongo mkubwa wa maambuki mpaya kwa wanachuo”alisema Salome. Salome alisema asasi yao unahahakisha kuna maendeleo chanya kwa vijana hasa vyuoni na kutoa elimu dhidhi ya kuepuka ugonjwa wa Ukimwi ili kufikia malengo ya kitaifa ya kupambana na ugonjwa huo. Taasisi mwamvuli zilizoshiriki katika mkutano huo ni Baraza la Taifa la NG’O (NACONGO), Chama cha waajiri Tanzania (ATE), Chama cha walimu wanaoishi na VVU/UKIMWI (TAPOTI),TUCTA, Tanzania private sectors foundation (TPSF),Restless na Baraza la hiari la maendeleo ya jamii (TACOSODE).
http://www.mtazamonews.co.tz/2018/05/tacaids-tupambane-na-maambukizi-mapya.html
0 notes
simulizihearteyes · 8 years
Photo
Tumblr media
HEART EYES 138 Anagonga geti mtu anakawia sana kumfungulia, anapata wasiwasi lakini haachi kugonga hadi anapokuja kufunguliwa na mpangaji mmoja, anaenda barazani anagonga mlango Uko wazi Ingia Anaingia anakuta Maisarah kalala chini mama yake analia Mama vipi? Anachuchumaa chini anamshika Maisarah na kukutana na joto kali Sijui baba ameamka vizuri, alipotoka kuoga kaja hapa kuchukua nguo kadondoka ghafla lakini leo ni tofauti na siku zingine namuona kakamaa Tumpeleke hospital Hapana haisaidii huyu haumwi mwanangu anazindukaga mwenyewe, baba yake alishakataza kumpeleka hospital Feroz anahisi kuchanganyikiwa hasa anapoona kifua kilichosimama hatari maana Maisarah alidondoka akiwa kajifunga lubega No mama huyu anatakiwa kwenda hospital Hapana baba yake alishanikataza alihangaika huku na kule akaja kuambiwa kuwa Maisarah kuanguka kwake sio swala la hospital Inampa shida Feroz sababu haamini mambo ya upande wa pili, anakosa nguvu ya kumfanya mama Maisarah amuelewe hivyo anasubiri kuona atakavyoamka mwenyewe, mama yake anainuka na kwenda ndani kumletea dera anamvalisha. Baada ya masaa kama matatu Maisarah anapiga chafya anashituka, machozi yanamtoka analia sana hadi Feroz anahisi kuchanganyikiwa, hali ya huzuni inatawala hadi saa 7 Maisarah anapitiwa na usingizi na kushituka saa 11 jioni akiwa na uchizi wake Hee mchumba umelala hapa? Ndo swali analomuuliza Feroz mara anaposhituka na kumkuta kasinzia kwenye kochi pembeni yake, Feroz anafikicha macho anamuangalia Maisarah kwa mapenzi makubwa anakosa hata cha kumwambia, anakaa na kula nao chakula cha jioni anaondoka saa 3 usiku, lakini kwa siku hii anakua na huzuni sana akiwa njiani kwenye foleni anampigia simu Dr Rafael na kumuelezea kinachoendelea katika maisha yake, daktari anashauri waonane lakini pia apate nafasi ya kuonana na Maisarah anamshauri asimwambie mama Maisarah kama anampeleka Maisarah kwa daktari, lakini pia anashauri amuonee nyumbani na sio ofisini kwake. Siku inayofuata Feroz anaenda na mama Maisarah anamruhusu bila wasiwasi, wanapokelewa vizuri na Dr Rafael na mkewe lakini anapokuja dada wa kazi kuwaletea vinywaji anapandisha mashetani ghafla na kuanza kuongea vitu vya ajabu kuhusu Maisarah.......
0 notes
Text
……….Benefits of being a Freemason ….
The Grand Lodge of Massachusetts welcomes those qualified men who are interested in the possibility of joining our ranks — to become a member of a Fraternity whose members and principles have shaped our country and our history. Men age 18 and older who believe in a Supreme Being and meet the qualifications and standards for membership are eligible to petition a Lodge. We welcome men of every…
View On WordPress
1 note · View note
Text
……….JOIN FREEMASON NOW….
The Grand Lodge of Massachusetts welcomes those qualified men who are interested in the possibility of joining our ranks — to become a member of a Fraternity whose members and principles have shaped our country and our history. Men age 18 and older who believe in a Supreme Being and meet the qualifications and standards for membership are eligible to petition a Lodge. We welcome men of every…
View On WordPress
1 note · View note
Text
……….JOIN FREEMASON NOW….
The Grand Lodge of Massachusetts welcomes those qualified men who are interested in the possibility of joining our ranks — to become a member of a Fraternity whose members and principles have shaped our country and our history. Men age 18 and older who believe in a Supreme Being and meet the qualifications and standards for membership are eligible to petition a Lodge. We welcome men of every…
Tumblr media
View On WordPress
0 notes
witch-doctor-kasoki · 7 months
Text
MGANGA WA MAPENZI KASOKI
DAKTARI MGANGA WA MAPENZI KASOKI 📞 0758997626. (Mapenzi, Ndoa, Biashara, Kesi, Uchawi, Kazi, Madeni, Nuksi, Maadui)
1 note · View note
witch-doctor-kasoki · 8 months
Text
MGANGA WA MAPENZI KENYA DR. KASOKI 📞 0758997626
mganga hatari WA mapenzi Kenya Daktari Kasoki. RUDISHA mpenzi. funga mpenzi 📞0758997626
1 note · View note
mgangawamapenzi · 1 year
Text
mganga wa nguvu |mganga wa mapenzi |mganga kutoka kitui
Tumblr media
Mganga wa nguvu |mganga wa mapenzi |mganga kutoka kitui
DAKITARI WA KIENYEJI (Call or WhatsApp us on +254700705622) DAKITARI SHEIKH ISMAIL MUTABIBU WA MADAWA ZA KIASIRI MUTALAMU WAKUTIBU SHIDA NA MAGNJWA KUONA YA KWAMBA UNA FAULU KWA SHIDA YAKO AU MAGONJWA NA KAMA VILE; ✓• Kurudisha Mpenzi Kupendwa Zaidi Kurudisha Kilicho Potea Nguvu Za Kiume Dawa Ya Kuongeza ume Dawa Ya Biashara Dawa Ya Kumaliza Kungorota Kukinga Boma Kupata Cheo Kazini Tasa Kesi Kotini Kurudisha Mpenzi Au Kupendwa Zaidi Kushika Wezi Wakikula Nyasi Au Kufatwa Na NyukiKufunga Mpenzi WakoDawa Ya Kuvuta Wateja Kwa Biashara (Call or WhatsApp us on +254700705622)
Mganga wa mapenzi Kenya, Daktari Sheikh Ismail ndiye Mganga hatari wa Mapenzi mombasa, kitui, Nakuru, Bungoma na Kenya Nzima, mganga Ismail Amejulikana na hatakutambulika Kenya na Africa kote Kama Mganga hatari, mganga mashuhuri, na Mganga Nambari moja , mganga wa kienyeji ya Mapenzi Pia anauwezo wa kutatua matatizo mbali mbalikama vile Dawa ya Biashara, Dawa ya kushi kawezi, kifafa kurudisha chochote kilichopotea nguvu za kiume na mengi ZAIDI , mutafute Mganga waganga,Mganga hatari wa mapenzi Daktari Sheikh Ismail leo kwa mafanikio
Call or WhatsApp us on +254700705622
0 notes
witch-doctor-kasoki · 2 years
Text
DAKTARI WA MAPENZI DR. KASOKI 0758997626
1 note · View note