Tumgik
#kubadilisha
rwizakakiza · 10 days
Text
Somo: ACHA VISINGIZIO, SIMAMA UBADILISHE MAISHA YAKO.
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
Fuatilia YouTube.
Https://youtube.com/@Rwizakakiza?si=DDoZgDdxlif_X-nD
Tumblr media
Sehemu VIII.
NAMNA YA KUSHINDA AU KUACHA VISINGIZIO.
1. TAMBUA THAMANI YAKO NA UWEZO ULIOMO NDANI YAKO.
.......Neno "THAMANI" lamaanisha "Ubora" au "Upekee" na "Kufaa zaidi". Na Neno "UWEZO" lamaanisha "Nguvu" na "mamlaka"
Kwa maana hiyo tunapozungumzia "Kutambua thamani yako na uwezo uliomo ndani yako" tunamaanisha "Kutambua Ubora na upekee wako unavyofaa, na nguvu ya mamlaka uliyonayo inavyoweza kugeuza hali ngumu kuwa rahisi au kuumba kitu kipya ambacho hakijatokea duniani, lakini unacho kwenye ufahamu wako".
Tatizo hutambui thamani yako ilivyo na uwezo uliomo ndani yako, na kutotambua thamani yako hakumaanishi thamani yako haipo, thamani yako ipo pale pale lakini kwa sababu hauitambui nayo haitakutambulisha. Angalia maandiko yasemavyo:-
......Mwanadamu hajui thamani yake, Wala haionekani katika nchi ya walio hai.
.......Ayubu 28:13......
Imeandikwa..... Mwanadamu hajui thamani yake.... Hayajasema.... Mwanadamu hana thamani.... Kumbe mwanadamu anayo thamani lakini hajitambuhi kama ana thamani na kama anatambua ni kiasi kidogo kuliko MUNGU anavyotambua thamani ya mtu aliyonayo. Thamani yako ndiyo inayotambulisha uwezo wako wa kubadilisha maisha yako.
Maandiko yanaendelea kusema...."Wala haionekani katika nchi ya walio hai".... Kama hautaitambua thamani na uwezo wako, HAKUNA mtu yeyote atakayeona na kutambua thamani na uwezo ulionao.
Kwa hiyo namna bora ya kushinda visingizio na kusimama imara ili kubadilisha maisha yako ni KUTAMBUA THAMANI yako (Yaani Ubora wako, Upekee wako, na kufaa kwako), Na KUTAMBUA UWEZO wako (yaani Mamlaka yako na nguvu iliyomo ndani yako).
MUNGU alikupa thamani ya kipekee na uwezo wa kipekee kuliko uumbaji mwingine, Sasa amua kudhiirisha thamani yako na uwezo wako ili maisha yako yabadilike, Amina.
2. Mwamini na mtegemee YESU kwa gharama yoyote.
.......Tutaendelea.......
Rejea
‭‭ "Man does not know the value of it; Nor is it found in the land of the living.
.....Job 28:13.....
Ev. Erasmus Pascrates Kakiza
(WhatsApp: +255 782 546 914)
@2024 The year of my shining.
1 note · View note
pst-bisekokimasa · 1 month
Text
0 notes
joackcompany · 4 months
Text
Tumblr media
@joackcompany @mifugo_tz @kilimo_tz @joackagrovet @afyakiganjani @joackanimalclinic @joackbagamoyo
Masaa ya kazi ni kuanzia Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.
Hizi ni spear part za pellet Mashine, maalumu kabisa kwajili ya kutengenezea pellet.
Die ndio inayoweza kubadilisha ukubwa wa pellets unazo tengeneza, ukitaka ziwe nene au nyembamba unatumia Die za size tofauti.
Kila die ina vitundu vya ukubwa tofauti tofauti kulingana na ukubwa wa pellet unaohitaji.
kwanini tutengeneze pellet za ukubwa tofauti?
Hii ni kwasababu kila mnyama/ndege anahitaji pellet ya ukubwa fulani kulingana na umri wake.
Wanyama/ndege wadogo wanahitaji pellets zenye sahizi ndogo, na wakubwa wanahitaji pellets zenye sahizi kubwa.
#diezapelletmashine #pelletmachine #chakulachasungura #mashineyakutengenezapellet #vifaavyamifugo #spearyapelletmachine #mizaniyachakulachamifugo #mashineyapellets #mashinezachakulachakuku #rabbitpelletsmachine #pelletmachine #mashineyachakulachasungura #mashineyachakulachamifugo #chakulachakuku #poultryequipments #tunauzamshinezaufugaji
Office zetu zipo @tegetawazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 714 63 63 75 (WhatsApp)
+255 692 43 02 63
Email:
YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac
Website link: https://joackcompany.business.site/
Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9
#joackcompany #joackagrovet #mifugo #mifugotz #kilimotz #kilimo #tanzania🇹🇿 #ufugaji #kuku #dodoma #tanzania #ufugajiwakuku #daressalaam
JOACK COMPANY LTD | DSM & BAGAMOYO
0 notes
vewavethathiri · 6 months
Text
Tumblr media
It is the truth only that can change us .We can never change the truth.
Ni ukweli pekee unaoweza kutubadilisha .Hatuwezi kamwe kubadilisha ukweli.
For more information contact Ph: +91 79044-02887 www.kundaliniyoga.edu.in #vewavethathiri #vewa #wavesofvethathiri #wcscaliyar #Vethathirimaharishikundaliniyoga #vethapearls #VethathiriMaharishi #vewainmultiplelanguage #Divinerealization #whoami #learnyogaonline #onlineyoga #onlinemeditation #worldpeace #individualpeace #familypeace #mounam #silence #innertravel #innerpeace #Learnasanasonline #Personalitydevelopment #geneticimprits #wisdom #benifitsofblessings
0 notes
implant-iran-center · 9 months
Text
Upaukaji
Upaukaji ni matumizi ya kemikali kama vile hydroquinone, tretinoin, corticosteroids, n.k. kwenye ngozi. Ili kupunguza giza, matangazo ya ngozi, ishara za kuzeeka na kubadilika kwa ngozi. Kimsingi, mchakato huu unaweza kuagizwa na madaktari ikiwa wanahitaji kutokana na matatizo ya ngozi. Katika hali sawa na rangi ya rangi inayosababishwa na jua, matangazo ya ngozi au matatizo ya rangi, matumizi ya wakala wa ngozi ya ngozi inaweza kuwa sahihi kwa maoni ya madaktari wa kitaalam.
Lakini unapaswa kuwa makini sana kuhusu watoto na kutumia mawakala wa blekning kwa ngozi zao. Ngozi ya watoto ni nyeti sana na yenye maridadi, na uingiliaji mwingine wa kemikali kwenye ngozi yao unaweza kuwa na madhara makubwa. Aidha, matumizi ya nyenzo nyeupe kwa watoto hubeba hatari hatari kutokana na ukosefu wa maendeleo ya ngozi na usalama wa mfumo.
Kazi bora zaidi ya kupandikiza kaskazini mashariki mwa Tehran Kazi bora ya kupandikiza kwa walinzi Kazi bora ya kupandikiza huko Shamsabad Kipandikizi bora cha kazi cha Narmak Kazi bora ya kupandikiza katika Tehran Pars
Ikiwa una wasiwasi juu ya ngozi ya mtoto wako, ushauri bora ni kuona dermatologist ya watoto. Wanaweza kutathmini matatizo ya ngozi ya mtoto na kupendekeza njia salama na matibabu ya kutunza na kutibu ngozi ya watoto. Njia na suluhisho zisizo za blekning zinaweza kutumika kusafisha meno, ambayo ni bora kwa usalama. Mbinu hizi ni pamoja na:
Kubadilisha tabia ya afya ya kinywa na meno: kusaga meno mara kwa mara na sahihi kwa mswaki na dawa ya meno, kutumia chini ya mkeka wa meno na kusafisha ulimi kunaweza kusaidia kudumisha na kuboresha rangi ya asili ya meno.
Kula vyakula na vinywaji vyenye afya: Kula vyakula na vinywaji kama vile matunda na mboga zilizo na nyuzinyuzi nyingi, juisi za matunda, maziwa, mtindi, na vyakula ambavyo kwa asili hupunguza asidi ya tumbo vinaweza kusaidia kuhifadhi rangi ya meno. . polepole kamili
Matumizi ya uzi wa meno: Matumizi ya mara kwa mara na sahihi ya uzi wa meno husaidia kusafisha sehemu za kati ya meno na kuzuia mrundikano wa madoa kwenye meno.
Utumiaji mdogo wa vyakula vilivyobadilika rangi: Matumizi machache ya vitu kama vile kahawa, chai, nikotini na vinywaji vyenye kaboni inaweza kusaidia kuzuia kubadilika rangi kwa meno.
Kusafisha meno kitaalamu: Kusafisha meno mara kwa mara na kitaalamu na daktari wa meno kwa kutumia vifaa na teknolojia inayofaa kunaweza kusaidia kudumisha na kuboresha rangi ya meno.
Kuepukwa kwa mawakala weupe wa kinywa: Viungo katika baadhi ya mawakala weupe wa meno kama vile sodium bicarbonate na asidi ya matunda (kama vile limau) huharibu meno kwa muda mrefu.
Hatimaye, ni muhimu kutafuta ufumbuzi na matibabu salama ili kuhifadhi na kuboresha rangi ya meno. Kabla ya kuamua juu ya kufanya meno kuwa meupe, inashauriwa kushauriana na daktari wako wa meno ili kupata suluhisho bora kwa hali yako.
0 notes
sariaisrael · 10 months
Text
KIVULI CHA ARSENE WENGER KINAVYOIONGOZA ARSENAL
Ujio wa Man City umefifisha nguvu ya Chelsea..Man Utd wanatumia gharama kubwa kusajili wachezaji pamoja na kubadilisha makocha bila kupata mafanikio yoyote… KAMA hakueleweka basi sasa mashabiki na wapenda michezo wanalazimika kumwelewa aliyekuwa kocha wa Arsenal, Arsene Wenger kupitia viongozi wa sasa wa klabu hiyo. Watazame Edu Gaspar na Mikel Arteta wanavyoongoza Arsenal katika falsafa ya…
Tumblr media
View On WordPress
0 notes
Photo
Tumblr media
SAMSUNG GALAXY A11 INAUZWA MODEL NO SM - A115F/DS STORAGE 32GB RAM 2GB KUBADILISHANA INARUHUSIWA KUBADILISHA IMEFIKA HAPA HAPA OFCN IRINGA MJINI MITAA YA KATA YA KIHESA,MKIMBIZI NA MTWIVILA DODOMA ROAD E MWANG'INGO ZAHANATI KITUO UKITOKEA STAND YA ZAMANI PANDA GARI ZA KIHESA KILOLO WAAMBIE WAKUSHUSHIE ZAHANATI YA MWANG'INGO KWA ABUNERI MJASIRIAMALI UKISHUKA UKIULIZA MNYAKUGULA MNYAKUGUSA HATA KUKU ANAKULETA TUNA HUDUMA ZA KULIPA KWA SIMU PIA BILA TOZO LIPA KWA MPESA 5670336 LIPA KWA TIGO PESA 9063797 LIPA KWA AIRTEL MONEY 9063797 UKILIPA JINA LINAKUJA MNYAKUGULA MNYAKUGUSA KWA PICHA MAELEZO ZAIDI NIPIGIE MWENYEWE 0757510219 (at Mwang'ingo Kihesa) https://www.instagram.com/p/Crdk6-Do6JT/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
mrherojoseph-blog · 1 year
Photo
Tumblr media
Leo nakuombea, 🌕Mungu akufungulie mlango wa baraka, Mungu akubariki wewe na familia yako. "Amina" moja yenye Imani inaweza kubadilisha maisha Yako!! https://www.instagram.com/p/Cp7vJY9I0Rv/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
drkangile · 1 year
Photo
Tumblr media
CHOZI LA FURAHA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI. BAADA YA MIAKA 5 KWENYE NDOA BILA MTOTO. Ameuliza: Ndio tayari au sielewi? Yani Nimelia Doctor! Abeba Mimba Baada ya Miaka 5 Kwenye Ndoa Bila Mimba. Kifungo cha wanawake wengi kutokubeba Mimba ni Kutokuamini lishe yake ni chanzo cha tatizo. Fanya utafiti wako hata mdogo muulize mwanamke yeyote anayetafuta mtoto kama ameshawahi kubadilisha mfumo wake wa lishe tangu ahangaike. Hakuna! Ugumba ni tatizo la Lishe na Homoni Chakula unachokula ili kiweze kutumika na mwili wako unahitaji homoni zinazo ratibu matumizi ya chakula hicho. Homoni zinazo ratibu matumizi ya chakula hasa vyenye sukari nyingi huathiri homoni za uzazi pia zinazo husika na kukomaza mayai. Kutokuamini mchango wa lishe bora unapo tafuta mtoto ni kujichelewesha. Miaka 5 kwenye ndoa Bila Mimba na alikata tamaa Alifika clinic miezi 4 iliyopita akiwa na umri wa miaka 30 na kilo 79kg wakati kilo zake sahihi kiafya kulingana na urefu wake zilitakiwa kuwa 55-60. Tulifanya Full body checkup kuangalia changamoto gani inayo msibu hasa katika utendaji kazi wa ovari. Ndani ya masaa 24 tulimpatia majibu na kumuweka kwenye mpango mkakati wa miezi 4-6. Baada ya majibu nilimuahidi atafanikiwa ndani ya miezi 4 akizingatia masharti yangu yote Alianza rasmi matibabu kwetu tarehe 01.11.2022 na Ushuhuda wake ameutoa tarehe 07.03.2023. Piga hesabu je hayuko kwenye makadilio yangu? Naweza kumpa mtu makadilio kulingana na uzoefu wangu na vipimo alivyopima. Imani ndio inayo kuponya haijalishi umecheleweshewa kwa miaka mingapi. Wagonjwa wengi tunao wapokea wenye matatizo ya uzazi wanakuwa wamehangaika sana na wamepoteza pesa nyingi mno.Mbali na hivyo wameumizwa kimwili na kiakili. Hivyo imani katika huduma yenye teknolojia ndogo kama lishe bora. Yataka nguvu ya Mungu kuamini na kutekeleza. Kabla ya vipimo huwa nawagawa wanawake wenye matatizo ya uzazi katika makundi 6 kama ifuatavyo: 1.Mwanamke anayebeba Mimba inaharibika 2.Mwanamke ambaye habebi mimba ila ana hedhi mzunguko mzuri 3.Mwanamke ambaye habebi mimba na hedhi imevurugika ila hupata bila mpangilio 4.Mwanamke ambaye habebi mimba na (at Dar es Salaam, Tanzania) https://www.instagram.com/p/CpkgRYZN8iz/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
ps-thom1 · 1 year
Text
MTAZAMO WANGU KWA MCHUNGAJI KIMARO.
Filemoni 111 ambaye zamani alikuwa hakufai, bali sasa akufaa sana, wewe na mimi pia; Kimaro akiwa ni mchungaji mkongwe,alionyesha kushindwa kufanya kazi ya kichungaji. Ktk mahubiri yake Kimaro alilalamika kuwa vijana wakikristo ni wezi na ni watu wasio aminika. Kazi ya mchungaji ni kubadilisha na kutengeneza watu walioshindikana kuwa watu safi ila mchungaji Kimaro alishindwa kutengeneza vijana…
View On WordPress
0 notes
enjagoetia · 1 year
Text
May I introduce: Kasharingo - alias Roho ya Kinga. He is one of my characters.
It is the very first peek into my story KUBADILISHA. I've been working on this for years.
And here it is.
Digital drawing by Nicolas Gabriel, sketch and idea by NM
Tumblr media
0 notes
rwizakakiza · 21 days
Text
Somo: ACHA VISINGIZIO, SIMAMA UBADILISHE MAISHA YAKO.
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
Fuatilia YouTube.
Https://youtube.com/@Rwizakakiza?si=DDoZgDdxlif_X-nD
Sehemu II. (VISINGIZIO).
BAADHI YA VISINGIZIO SITA (6) VINAVYOZUIA KUFANIKIWA KWAKO.
1. HALI DUNI KIMAISHA.
Kisingizio hiki kinaweza kuzuia mafanikio na Ustawi wako kwa sababu, kinaleta uhalisia wa maisha yako ulivyo na ulipotokea.
Hali duni kimaisha inaweza kuwa ni KUTOHESHEMIKA na UMASKINI ambapo ukitazama kwenu hakuna aliyefanikiwa kimaisha, kielimu, kiuchumi, na mengineyo mengi.
Ukitazama upande wako umeangaika kwa kufanya kila kazi na hata vibarua, muda wa kupumzika huna, Lakini hakuna mafanikio badala yake UMEJITWIKA MIZIGO YA MADENI kila mahali, unakopa hapa unarudisha hapa, mafanikio hakuna.
Kupitia hali unajenga imani ndani mwako kwamba MAISHA NDIO HAYA maana hata kwetu tuko hivyo hakuna aliyefanikiwa. Kinachotokea ni LAWAMA KWA WAZAZI, MALALAMIKO, MANG'UNIKO na VISINGIZIO vya hali unayoipitia.
......Malaika wa BWANA akatokea, Gidioni akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee SHUJAA. Gideoni akasema, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Ila sasa MUNGU ametutupa; BWANA akamtazama, akasema, ENENDA kwa UWEZO WAKO huu, UKAWAOKOE Israeli. Je! Si mimi ninayekutuma? Gidioni akasema, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? TAZAMA, JAMAA zangu ndio walio MASKINI SANA katika Manase, na MIMI ndimi NILIYE MDOGO katika nyumba ya Baba yangu.
.......Waamuzi 6:11-15......
MUNGU anamwona Gidioni ni SHUJAA na anaweza KUWAOKOA na kuwa msaada kwa Israel, lakini Gidioni haoni UWEZO ndani yake, bali anaona hali duni inayomzunguka yaani UMASKINI na KUTOHESHIMIWA kwenye familia na ukoo wake.
MUNGU alivyomtazama Gidioni anavyojiona akamwambia AENDE kwa UWEZO wake huo, kwa sababu ilikuwa vigumu kuondoa mtazama bila kuona uwezo ulio juu ya matatizo yake.
Acha kujiona huwezi, unaweza kubadilisha maisha yako na kufanikiwa, maana kuzaliwa katika hali duni haimaniishi huwezi kufanikiwa, Amina.
2. UWEZO HAFIFU.
.......Tutaendelea.......
Rejea
The LORD turned to Gidion and said, “Go in this STRENGTH of yours and SAVE Israel from the hand of Midian. Have I not sent you?”
.....Judges‬ ‭6:14‬......
Ev. Erasmus Pascrates Kakiza
(WhatsApp: +255 782 546 914)
@2024 The year of my shining.
1 note · View note
classicfinishestz · 2 years
Photo
Tumblr media
LEVELS 🤎🤍🪙EXTREME MIRA 55000 PER SQ M(HEAVY-DUTY FLOORING) MKEKA WA MBAO UNAIPA OFISI YAKO MUONEKANO WA DHAHABU🪙🪙 WAWEZA ONA JINSI ULIVYIOPENDEZESHA OFISI HII,AMBAPO HAPO AWALI KULIKUWA NA FLOOR YA TILES. WATALAAMU WETU WANAFIKA 🪖🦺 POPOTE PALE ULIPO NA KUBADILISHA MUONEKANO WA FLOOR YAKO NA MKEKA WA MBAO. NA BILA KUSAHAU OFA KABAMBE ZA BIDHAA ZETU BADO ZINAENDELEA,TUNASEMA UJANJA KUWAHI. KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NAO KWA NAMBA HIZI ☎️☎️0747753566 ☎️☎️0735282811(MWAI KIBAKI ROAD-KAWE, MBEZIYACHINI) @classic_finishestz MADALE BRANCH ☎️☎️0655819992 @classic_finishesbranch KARIAKOO FIKA MHD DUKA NAMBA 77 OPPOSITE NA CHINA PLAZA ☎️☎️0719363640 @mhd_quality_carpettz WAKALA WA MKEKA WA MBAO DODOMA, PIGA NAMBA HIZI. 👇🏾👇🏾👇🏾 ANAPATIKANA MTAA WA UHINDINI-NYERERE ROAD ☎️☎️0766484442 ☎️☎️0622596949 #mkekawambaotz (at FeedBack) https://www.instagram.com/p/CkAaZd7NmZx/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
joackcompany · 1 year
Text
TUNAUZA DIE KWAJILI YA PELLET MASHINE | SPEAR ZA PELLET MASHINE - DSM
Ukubwa wa DIE zilizopo ni 3mm, 4mm, 5mm na 6mm.
Call/Text/WhatsApp: +255 714 63 63 75
@joackcompany @mifugo_tz @kilimo_tz @joackagrovet @afyakiganjani @joackanimalclinic @joackbagamoyo
Masaa ya kazi ni kuanzia Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.
Hizi ni spear part za pellet Mashine, maalumu kabisa kwajili ya kutengenezea pellet.
Die ndio inayoweza kubadilisha ukubwa wa pellets unazo tengeneza, ukitaka ziwe nene au nyembamba unatumia Die za size tofauti.
Kila die ina vitundu vya ukubwa tofauti tofauti kulingana na ukubwa wa pellet unaohitaji.
kwanini tutengeneze pellet za ukubwa tofauti?
Hii ni kwasababu kila mnyama/ndege anahitaji pellet ya ukubwa fulani kulingana na umri wake.
Wanyama/ndege wadogo wanahitaji pellets zenye sahizi ndogo, na wakubwa wanahitaji pellets zenye sahizi kubwa.
#diezapelletmashine #pelletmachine #chakulachasungura #mashineyakutengenezapellet #vifaavyamifugo #spearyapelletmachine #mizaniyachakulachamifugo #mashineyapellets #mashinezachakulachakuku #rabbitpelletsmachine #pelletmachine #mashineyachakulachasungura #mashineyachakulachamifugo #chakulachakuku #poultryequipments #tunauzamshinezaufugaji
Office zetu zipo @tegetawazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 714 63 63 75 (WhatsApp)
+255 692 43 02 63
Email:
YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac
Website link: https://joackcompany.business.site/
Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9
#joackcompany #joackagrovet #mifugo #mifugotz #kilimotz #kilimo #tanzania🇹🇿 #ufugaji #kuku #dodoma #tanzania #ufugajiwakuku #daressalaam
JOACK COMPANY LTD | DSM & BAGAMOYO
Tumblr media
0 notes
zephilinecom · 2 years
Text
MTU WA UFUKWENI (20)
Jina: MTU WA UFUKWENI Mwandishi: Andrew Mhina SEHEMU YA ISHIRINI ILIPOISHIA... Mwisho wa yote akamwambia atafute wakili kwa sababu yeye pamoja na mali zote hizo hakuwahi kuweka wakili binafsi. Wakili atakayemweka amsimamie katika kubadilisha hati za umi
Jina: MTU WA UFUKWENIMwandishi: Andrew Mhina SEHEMU YA ISHIRINIILIPOISHIA… Mwisho wa yote akamwambia atafute wakili kwa sababu yeye pamoja na mali zote hizo hakuwahi kuweka wakili binafsi. Wakili atakayemweka amsimamie katika kubadilisha hati za umiliki wa mali zake, kutoka jina la Dr. Jackson Kigoi kwenda jina lake yaani Ramson. Hakujua aanzie wapi baada ya kuona mambo hayo. KAMA UNASOMA…
Tumblr media
View On WordPress
0 notes
kilimotanzania · 2 years
Text
UFAHAMU UGONJWA WA MAFUA YA KUKU KIUNDANI ZAIDI.
 MAGONJWA YA KUKU/TIBA/KINGA.
Habari ya uzima ndugu mfugaji, ni matumaini yangu u mzima. Mimi ni mzima na leo tunaanza somo letu la magonjwa ya kuku, tutaongelea magonjwa ya kuku, dalili, tiba na chanjo endelea kuwa pamoja nasi.
FAIDA ZA KUZINGATIA TIBA/CHANJO.
•Hupunguza athari za kiuchumi zitokanazo na maambukizi.  • Hulinda afya za kuku ambao hawajaambukizwa.  • Hupunguza kuenea kwa maambukizi kutoka kuku wagonjwa kwenda kuku wasio wagonjwa.  • Huwakinga wanadamu wasipate maambukizi kutoka kwa kuku wagonjwa.  • Huzalisha kuku na bidhaa zenye ubora wa juu ambazo hupata bei nzuri sokoni.
Hatua Za Tahadhari Za Kuzuia Kuingia Na Kuenea kwa Magonjwa Shambani.
1. Tenganisha ndege kufuatana na aina ya ndege na umri wao  2. Weka karantini kwa ndege/kuku wapya ili wachunguzwe kwa kipindi kisichopungua wiki mbili  kabla ya kuingizwa shambani au bandani.  3. Usiruhusu tabia ya kuchangia vifaa/vyombo kama vile makasha ya mayai, makreti ya kubebea kuku  kati ya shamba na shamba, n.k.  4. Wafanyakazi waanze kuwahudumia kuku wenye umri mdogo kabla ya wale wenye umri mkubwa.  5. Usiruhusu watoto kucheza na kuku.  6. Jaribu kuzuia idadi ya wageni wanaoingia shambani/bandani.  7. Weka utaratibu wa kuangamiza mizoga ya kuku.  8. Anzisha programu jumuishi ya kudhibiti wadudu/wanyama waharibifu.  9. Panga utaratibu mzuri wa kuwapa kuku huduma ya maji na kufanya usafi.  10. Panga utaratibu mzuri wa kuzoa taka na mizoga ya kuku.  11. Panga utaratibu mzuri wa kusafisha banda na kupulizia dawa.  12. Vifaa visafishwe na kuwekwa dawa ya kuua vijidudu kabla ya kuingizwa shambani.  13. Hakikisha magari yanapoingia shambani yanapita katika kidimbwi chenye dawa ya kuua vimelea  vya magonjwa.  14. Hakikisha mfanyakazi anabadilisha viatu/mabuti kabla ya kuingia katika kila banda  15. Weka taratibu nzuri za kuingia shambani, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha usafi wa viatu na mikono;  au wageni na wafanyakazi kubadilisha nguo/viatu na kuvaa mabuti.
Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadiliko kutoka katika afya ya kawaida ya mnyama/kuku. Hali hii hutokea pale  vimelea au vijidudu vinapoingia mwili wa mnyama, kwa kula vyakula vyenye sumu, au inapotokea kuna uhaba wa  lishe au madini mwilini.
Tofauti za muonekano kati ya kuku mwenye afya na kuku mgonjwa
Kuku mwenye afya nzuri : _Macho na sura angavu  _Hupenda kula na kunywa maji  _Pua zilizo safi, upanga na undu mwekundu, manyoya  laini na yaliyopangika vizuri  _Hupumua kwa utulivu  _Sehemu ya kutolea haja huwa kavu  _Kinyesi kikavu _Hutaga mayai kawaida .
Kuku asiye na afya nzuri (mgonjwa)
_Huonekana mchovu na dhaifu  _Hula na kunywa kidogo au zaidi ya kawaida  _Hutoa kamasi puani, ute na matongotongo; manyoya  yaliyovurugika  _Hupumua kwa shida na kwa sauti  _Sehemu ya kutolea haja inakuwa na unyevunyevu na  kinyesi kuganda  _Huharisha, mharo/kinyesi huwa na damu , kijani, cheupe, njano, kijivu au kuwa  minyoo Nk _Hutaga mayai machache au husimama kutaga kabisa  _Huwa na tabia ya kujitenga na wenzake katika kundi.
MAGONJWA YA KUKU.
Tuanze Na Mgonjwa Muhimu Yanayosababishwa Na Bakteria.
1. MAFUA YA KUKU
( infectious coryza)  MAELEZO  Ni ugonjwa unaoitwa infectious coryza huenezwa na  bacteria. anaeitwa (hemophilus paragallinarum).  Ugonjwa huu hushambulia kuku aina zote. Na usipo kuwa  makini kwenye usafi wa banda na vyombo , kuruhusu watu kuingia ovyo bandani au kuku wa jirani kuja kuingia  kwenye banda lako; ugonjwa huu unaweza shambulia kuku wako kwa kila wiki.
Tumblr media
DALILI ZA UGONJWA HUU = _Kuvimba uso chini na nyuma ya macho.  _Kupumua kwa shida na kukoroma  _Kutoka makamasi puani,  _ Mdomoni kuwa na hali ya mterezo  _Macho kuvimba _Kushindwa kula.  _Kupiga chafya , macho kuonekana kama yanatoka  machozi
Tumblr media
JINSI UGONJWA UNAVYOENEA:  _Ugonjwa huu huenea kutokana kuku mmoja kwenda kwa  kuku mwingine, au kutoka banda moja kwenda banda  lingine.  _Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilicho  chafuliwa na kinyesi cha kuku Mgonjwa.  _Ugonjwa huu uneea na kuambukizwa kwa mfumo wa  hewa pale kuku wanapopiga chafya.
UNASHAURIWA  Pindi ugonjwa unapo ingia bandani kwako wale kuku  watakao onesha dalili za ugonjwa huu , watenge kisha  wape tiba kuku wako wote; unatakiwa kuwatenga kwa ajili  ya kupunguza maambukizi bandani.
DALILI ZA MZOGA UKIUPASUA Usaha mweupe hadi njano huonekana kwenye macho na  ndani ya pua
#MATIBABU  Zipo dawa nyingi za kutibu ugonjwa huu antibiotic/ sulfa.  Hizi ni baadhi tu.  Fluban  Flutan Ganadexil  Tylodox  Teramycin. Trimazine nk
:Tumia fluban,flutan kwa Kuku wanaooneshadalili za mafua bila vifo.
Tumia Ganadexil,tylodox kwa Kuku wenye mafua ambao  kuna vifo vimetokea
The post UFAHAMU UGONJWA WA MAFUA YA KUKU KIUNDANI ZAIDI. appeared first on Kilimo Tanzania.
from WordPress https://bit.ly/3rpxI56 via IFTTT
0 notes