thinking a lot about the skinks and kiburi. this scene with kiburi is so funny in general
"....I thought you said he was a crocodile."
"No, YOU said that! :)"
but it's kinda interesting how shupavu and njano were spying ON the crocs from the start (in the rise of scar into song) and now they've spied FOR him (theoretically. they're only really allied to scar of course but let me think about complex dynamics okay??)
as always, the expressions are great. kiburi looks so tired of njano in that second pic LMAO
and the details are great too, such as the skinks sticking around to watch what happens. even though it's their job in the army, they just genuinely enjoy spying and watching shit happen 😭
they're a pain in the ass for reforming the outlands for sure, but i love them hfghjfhg
67 notes
·
View notes
Headcanons about Njano specifically bc he is mine now
- He was born with his tongue sticking out, a trait none of the other skinks have. That and his eyes being wider apart led to everyone assuming he was an idiot. This obviously couldn’t be farther from the truth. He may not be as quick-witted as the other skinks, but he’s still very smart
- While he’s not an idiot, he’s still very much a little goofball when not spying on other animals and out of all the skinks, he’s probably the nicest one
- He was a lot less confident than he is now. Very unsure of his decisions and having to rely on others to tell him what to do
- He had an older brother, Danganya (cheat, deceive), who taught him everything he knows. Danganya saw right through his little brother. He knows very well he’s capable of deceiving other animals, he just had to get Njano to believe it.
- Danganya was an awesome mentor/brother. He was so sweet and always used to reassure Njano that he’s smarter than he looks. It was cuz of him that Njano finally saw his goofy look as an advantage. He’d pretend to be innocent and a little bit dumb, but when the animal least expects it, he’s already stolen your food and ditched you. His brother was so proud
- His main catchphrase was “You trust me, don’t you?”
- Njano was absolutely distraught when Danganya died (probably in a mini stampede or rock slide). He was originally the victim, but was pushed out of the way by Danganya. From then on, Njano followed his brother’s footsteps and became the crafty little skink we all know now. It was also the same day Njano said his signature “Trust me!” (“Don’t worry, I can take care of myself….Trust me…”)
- Every season, he goes to his late brother’s grave in front of his favorite tree and talks to it as if he were still alive. He wants to make sure his bro is all caught up. Sometimes he forgets to go back and you could find him sleeping right next to the grave, looking all peaceful
- He and Shupavu met at a young age, where they were both all alone. Shupavu randomly bumped into Njano and he refused to leave her alone after that lmao. Like that one annoying sidekick trope. They soon hit it off, befriended more skinks, and the rest was history
- He’s liked her from the start, he was just too shy to admit it
- He was her rock through Shuoavu’s grieving process after Ushari’s death. He knew all too well what it was like to lose someone close to you, so he did everything he could to comfort her. Then one day, it happened. Njano was comforting Shupavu, she mentioned how sweet he’s always been, they hugged which turned to a nose boop (the skink version of a kiss) which ultimately turned into a badly kept “secret” relationship
They were basically this meme:
- It ain’t no lie, he is bi bi bi
- He was the first skink to befriend Hodari, genuinely being nice to him and showing him around the Outlands. They’re best friends now :)
- He’s somehow the most desired male in skink standards. AKA he’s “the cute one”. He’s been hit on several times and he has no clue how.
Shupavu trusts that he would never cheat on her. Other female lizards aren’t so lucky
5 notes
·
View notes
Missing Njano, but Zara has been a welcome addition to the party.
Whoever created her, ty!
16 notes
·
View notes
I hate how I deleted all my Usharl, Kiburi, Njano, Goigoi and Nne icons because I thought I was not gonna write them again anyway
3 notes
·
View notes
TUNAUZA MAYAI YA KISASA FRESH KUTOKA SHAMBANI | DSM NA KUSAFIRISHA MIKOA YOTE YA TANZANIA
Call/Text/WhatsApp: +255 714 63 63 75
@joackcompany @mifugo_tz @kilimo_tz @afyakiganjani @joackagrovet @joackanimalclinic
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.
Haya mayai ya kisasa tunayazalisha kwenye mashamba yetu ya Dar es salaam na pwani, lakini tunaweza kuwatumia hata wateja walioko mikoani kwa gharama nafuu.
Mayai yapo ya kutosha hata ukihitaji tray 10,000 kwa mara Moja unapata.
SIFA ZA MAYAI YETU
1. Mayai haya ni makubwa na ni mazuri, yanatoka mojakwamoja shambani - FRESH EGGS
2. May haya yana uwezo wa kukaa muda mrefu bila kuharibika. - LONG SHELF LIFE
3. Mayai yetu yana ganda gumu, hivyo hayapasuki kirahisi, ni rahisi kuyasafirisha kwa umbali mrefu. - STRONG EGGSHELL
4. Mayai yana kiini cha njano, hii inashiria kuwa, haya mayai yana virutubisho/vitamini vya kutosha. - YELLOW YOLK
TUNAUZA TREI TUPU
Pia tunauza tray tupu za karatasi zinazo tumika kuwekea mayai, Bei ni 180 kwa trai moja.
Office zetu zipo @tegetawazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 714 63 63 75(WhatsApp)
+255 692 43 02 63
Email:
YouTube: https://youtu.be/Yd1kfmho0ac
Website link: https://joackcompany.business.site/
Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7
#joackcompany #joackvetcenter #mayai #mayaiyakisasa #mayaiyachotara #kuku #kukuwamayai #layers #kukuchotara #treizamayai #beiyatreiyamayai #tunauzamayai #wauzajiwamayai #fresheggs #tableeggs #mifugo #mifugotz #kilimotz #tanzania #vifaranga #daktariwamifugo #daressalaam #arusha #tanga #dodoma #morogoro #chakulachasungura #wauzajiwamayai #sungurawanauzwa #tanzania
JOACK Company LTD | DSM & BAGAMOYO
0 notes
*BAADHI YA DALILI ZA PID* ⏩Kutokwa na uchafu mzito ukeni ⏩Uchafu ukeni wa rangi nyeupe au njano ⏩Uke kutoa harufu mbaya ⏩Kuwashwa sehemu za siri ⏩maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu ⏩Uke kuwa mlaini sana ⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa ⏩Kuvurugikwa kwa hedhi ⏩Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi ⏩Maumivu wakati wa kukojoa ⏩Homa/uchovu na kuchoka ⏩kizungu zungu na n.k Ongea na DAKTARI leo wa.me/255717174151 Dawa ya P.I.D SUGU NI 120000 tu, na dawa ya UTI na Fungus ni 45000 , hii ina muunganiko wa dawa mbili na inatumika kwa siku 10 tuu, unatumiwa popote ulipo. Epuka ugumba wa P.I.D Delivery Buree mkoani na Hapa Dar es salaam (at Dar es Salaam, Tanzania) https://www.instagram.com/p/CoL7MQ0oq2L/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
UFAHAMU UGONJWA WA MAFUA YA KUKU KIUNDANI ZAIDI.
MAGONJWA YA KUKU/TIBA/KINGA.
Habari ya uzima ndugu mfugaji, ni matumaini yangu u mzima. Mimi ni mzima na leo tunaanza somo letu la magonjwa ya kuku, tutaongelea magonjwa ya kuku, dalili, tiba na chanjo endelea kuwa pamoja nasi.
FAIDA ZA KUZINGATIA TIBA/CHANJO.
•Hupunguza athari za kiuchumi zitokanazo na maambukizi.
• Hulinda afya za kuku ambao hawajaambukizwa.
• Hupunguza kuenea kwa maambukizi kutoka kuku wagonjwa kwenda kuku wasio wagonjwa.
• Huwakinga wanadamu wasipate maambukizi kutoka kwa kuku wagonjwa.
• Huzalisha kuku na bidhaa zenye ubora wa juu ambazo hupata bei nzuri sokoni.
Hatua Za Tahadhari Za Kuzuia Kuingia Na Kuenea kwa Magonjwa Shambani.
1. Tenganisha ndege kufuatana na aina ya ndege na umri wao
2. Weka karantini kwa ndege/kuku wapya ili wachunguzwe kwa kipindi kisichopungua wiki mbili
kabla ya kuingizwa shambani au bandani.
3. Usiruhusu tabia ya kuchangia vifaa/vyombo kama vile makasha ya mayai, makreti ya kubebea kuku
kati ya shamba na shamba, n.k.
4. Wafanyakazi waanze kuwahudumia kuku wenye umri mdogo kabla ya wale wenye umri mkubwa.
5. Usiruhusu watoto kucheza na kuku.
6. Jaribu kuzuia idadi ya wageni wanaoingia shambani/bandani.
7. Weka utaratibu wa kuangamiza mizoga ya kuku.
8. Anzisha programu jumuishi ya kudhibiti wadudu/wanyama waharibifu.
9. Panga utaratibu mzuri wa kuwapa kuku huduma ya maji na kufanya usafi.
10. Panga utaratibu mzuri wa kuzoa taka na mizoga ya kuku.
11. Panga utaratibu mzuri wa kusafisha banda na kupulizia dawa.
12. Vifaa visafishwe na kuwekwa dawa ya kuua vijidudu kabla ya kuingizwa shambani.
13. Hakikisha magari yanapoingia shambani yanapita katika kidimbwi chenye dawa ya kuua vimelea
vya magonjwa.
14. Hakikisha mfanyakazi anabadilisha viatu/mabuti kabla ya kuingia katika kila banda
15. Weka taratibu nzuri za kuingia shambani, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha usafi wa viatu na mikono;
au wageni na wafanyakazi kubadilisha nguo/viatu na kuvaa mabuti.
Ugonjwa ni nini?
Ugonjwa ni mabadiliko kutoka katika afya ya kawaida ya mnyama/kuku. Hali hii hutokea pale
vimelea au vijidudu vinapoingia mwili wa mnyama, kwa kula vyakula vyenye sumu, au inapotokea kuna uhaba wa
lishe au madini mwilini.
Tofauti za muonekano kati ya kuku mwenye afya na kuku mgonjwa
Kuku mwenye afya nzuri :
_Macho na sura angavu
_Hupenda kula na kunywa maji
_Pua zilizo safi, upanga na undu mwekundu, manyoya
laini na yaliyopangika vizuri
_Hupumua kwa utulivu
_Sehemu ya kutolea haja huwa kavu
_Kinyesi kikavu
_Hutaga mayai kawaida .
Kuku asiye na afya nzuri (mgonjwa)
_Huonekana mchovu na dhaifu
_Hula na kunywa kidogo au zaidi ya kawaida
_Hutoa kamasi puani, ute na matongotongo; manyoya
yaliyovurugika
_Hupumua kwa shida na kwa sauti
_Sehemu ya kutolea haja inakuwa na unyevunyevu na
kinyesi kuganda
_Huharisha, mharo/kinyesi huwa na damu , kijani, cheupe, njano, kijivu au kuwa minyoo Nk
_Hutaga mayai machache au husimama kutaga kabisa
_Huwa na tabia ya kujitenga na wenzake katika kundi.
MAGONJWA YA KUKU.
Tuanze Na Mgonjwa Muhimu Yanayosababishwa Na Bakteria.
1. MAFUA YA KUKU
( infectious coryza)
MAELEZO
Ni ugonjwa unaoitwa infectious coryza huenezwa na
bacteria. anaeitwa (hemophilus paragallinarum).
Ugonjwa huu hushambulia kuku aina zote. Na usipo kuwa
makini kwenye usafi wa banda na vyombo , kuruhusu watu kuingia ovyo bandani au kuku wa jirani kuja kuingia
kwenye banda lako; ugonjwa huu unaweza shambulia kuku wako kwa kila wiki.
DALILI ZA UGONJWA HUU =
_Kuvimba uso chini na nyuma ya macho.
_Kupumua kwa shida na kukoroma
_Kutoka makamasi puani,
_ Mdomoni kuwa na hali ya mterezo
_Macho kuvimba
_Kushindwa kula.
_Kupiga chafya , macho kuonekana kama yanatoka
machozi
JINSI UGONJWA UNAVYOENEA:
_Ugonjwa huu huenea kutokana kuku mmoja kwenda kwa
kuku mwingine, au kutoka banda moja kwenda banda
lingine.
_Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilicho
chafuliwa na kinyesi cha kuku Mgonjwa.
_Ugonjwa huu uneea na kuambukizwa kwa mfumo wa
hewa pale kuku wanapopiga chafya.
UNASHAURIWA
Pindi ugonjwa unapo ingia bandani kwako wale kuku
watakao onesha dalili za ugonjwa huu , watenge kisha
wape tiba kuku wako wote; unatakiwa kuwatenga kwa ajili
ya kupunguza maambukizi bandani.
DALILI ZA MZOGA UKIUPASUA
Usaha mweupe hadi njano huonekana kwenye macho na
ndani ya pua
#MATIBABU
Zipo dawa nyingi za kutibu ugonjwa huu antibiotic/ sulfa.
Hizi ni baadhi tu.
Fluban
Flutan
Ganadexil
Tylodox
Teramycin.
Trimazine nk
:Tumia fluban,flutan kwa Kuku wanaooneshadalili za mafua bila vifo.
Tumia Ganadexil,tylodox kwa Kuku wenye mafua ambao
kuna vifo vimetokea
The post UFAHAMU UGONJWA WA MAFUA YA KUKU KIUNDANI ZAIDI. appeared first on Kilimo Tanzania.
from WordPress https://bit.ly/3rpxI56
via IFTTT
0 notes
LISHE KWA WATOTO ▪︎Kuna mambo ya kuzingatia katika lishe kwa watoto wachanga hadi umri wa miezi 6. Maziwa ya mwanzo yenye rangi ya njano ni mazuri kwa ajili ya mtoto wako. ▪︎Maziwa haya humkinga mtoto dhidi ya magonjwa. Maziwa ya mama ndiyo chakula pekee ambacho mtoto anahitaji katika miezi 6 ya mwanzo. ▪︎Maji au vinywaji vingine na vyakula vinaweza kumfanya mtoto apate magonjwa. ▪︎Wanawake waliogundulika kwamba wameambukizwa VVU nao wanashauriwa kunyonyesha watoto wao maziwa ya mama pekee kwa miezi sita ya mwanzo. ▪︎Katika kipindi hiki chote, mama na mtoto wenye maambukizi ya VVU wanashauriwa kuendelea kutumia dawa za kupunguza makali ya VVU kama walivyoshauriwa na wataalamu wa afya. JIFUNZE ZAIDI HAPA https://wikielimu.com/mlo-chakula-lishe-kwa-watoto-unaofaa-kwa-kila-umri-na-wagonjwa/ @wikielimu @hwi_tanzania #wikielimu https://www.instagram.com/p/CgYwZT7q7cm/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
i love the designs of the skinks
60 notes
·
View notes
SKINK APPRECIATION POST!!!!!
because there's like. no picture posts or even posts in general about the skinks
there's always together <3 can't scheme without your best friend (or partner, if you see it that way :3)
idk what it is specifically about her but shupavu is a great leader. maybe it's because she's not dealing with idiots 😭 the skinks are pretty damn smart. scar's army would have been useless without them
i love this shot. they are small but mightily posed for battle
nyeusi was cool. he started the trend of each of the skinks being the best at something. he literally speaks with his tongue lol
i wish the green skink got a name :( her voice was pretty. also this episode was funny because on one side it was sweet that beshte wanted the skinks to be safe meanwhile they were plotting to kill him hdfgh
curse the ten picture limit 😭 more in a reblog :)
37 notes
·
View notes
Lion Guard characters as emojis/emoticons
😧
:p
🤨
😂
>:3
🙂
😀
🥺
😃
79 notes
·
View notes
redraw this agian jjsijhujsdjsdjk
2018 vs 2019
1 note
·
View note
Found out you can summon Pawns you've previously hired, and so I managed to get Njano back, for another... Oh, two hours... she got swept off a cliff into the ocean this time. 😭😭😭
7 notes
·
View notes
I still Need to add them but
Ushari / Kiburi / Njano / Nne and Goigoi are still here
2 notes
·
View notes