Hi! Big fan of your work! And your stories!! Huge fan!! I adore your artwork and characters, love them!!
I was wondering do you have other social medias? If you want to share tho!
Also quick question!!
Is anyone taller than Zeus? Just curious 👉👈
I don't have any social medias... Not since the incident
Kiddings, I just stopped cuz it got overwhelming uwu now I'm mainly sticking to tumblr. Its more intimate here anyways compared to instagram or twitter.
AND YES ZEUS HAS SOMEONE TALLER THAN HER.
HER DAD.
Angels are quite big from what I remember! 200 ish? Zeus barely reaches his feet. Man had to shrink down for his villager form and he's still a big chunky man!
I imagine this form only ever appears in a coven head's dream though.. either this man appears as an all knowing being sitting on an equally large throne, or like-- he's a sort of Tafiti from Moana, but instead of an Island, he's perhaps the stony or quartzy remains of a sanctuary or church like structure.
fuck it, he appears differently with every coven head :3c sometimes he disguises himself as an old wise man, sometimes he's in his biblically accurate form, sometimes he's a sanctuary, sometimes-
he does this to fuck with them
" I met god. and he's an old old wise man-"
" THE HELL HE AINT- THAT MAN IS H U G E AND STATUE-LIKE."
" NAHHH FUCK YOU HE WAS-"
Dad in the background: "I broke it. it burnt my hand so I punched it-"
Lin:i wanna make every teen theatre/disney kid sad “naomi what the heck did you do” “ill never be good enough for you” “paciancia y fea” the song “Johns interlouge” Moana’s dad throwing the heart of tafiti
Disney/theatre kids: :(
Lin: NO LO SIENTO AQUI ✨anthony and charaters that look like him✨
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
{The Heart of tafiti proceeds to fall out of the sky perfectly hitting you on the head}
Ow- ..What?
(He quickly reaches up and grabs it, his tail beginning to wag as he examines the new rock)
This one looks marvelous
I think I'll call you Ruth, you certainly look like that name would fit you nicely. And you'll be able to give Renata, Rain and Riley some good company!
Wait who's Renata again?
The rainbow looking one
Ooooh ok. Yup. Uh huh. There's too many rocks here
Don't say that, they're friends
THEY CAN'T TALK FINITE HOW MANY TIMES DO I HAVE TO GO OVER THIS
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
wachimbaji visima virefu vya maji safi na salama kwa matumizi ya nyumbani au shambani pia tunafanya surveying (tafiti kubaini uwepo wa maji ) kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba zetu ni 0762484200/0627431955
*Hisia za mapenzi za mwanamke hua juu wakati akiwa period ?* Wengi tunafahamu kua hisia za mapenzi za mwanamke hua juu zaidi akiwa katika siku zake za hatari. - Taarifa ikufikie kua hisia za mapenzi za mwanamke hua juu hata akiwa katika siku zake (period). Mwanamke hupitia mabadiliko mbalimbali katika maisha yake hususani mabadiliko ya homoni ambapo wakati wa hedhi kutokana na mabadiliko hayo wapo ambao hisia zao za mapenzi hua juu kuliko wakati mwingine. - Katika tafiti iliyofanyika nchini serbia iligundulika kua mwanamke hisia zake za mapenzi huwa juu zaidi akiwa katika siku zake(period). - Wengine katika kipindi hiki huhitaji kua karibu na marafiki wao wa karibu, wapenzi au watu wanaowapenda zaidi. Hata hivyo kuna waliosema kua katika kipindi hicho wakishiriki huwapunguzia maumivu ya tumbo na hujiskia vizuri. - Japo wapo waliosema kua katika kipindi hicho hua hawajisikii hata kidogo kushiriki. Kwa msaada, maswali, ufafanuzi wa jambo lolote kuhusu magonjwa na tiba 0717174151 (at Dar es Salaam, Tanzania) https://www.instagram.com/p/Co6mRuHt2Ya/?igshid=NGJjMDIxMWI=
Kuku ni moja ya miradi inayofanywa kwa wingi na watu wa kada mbalimbali, wakiwamo wakulima na wafugaji, na wanaofanya shughuli nyinginezo.
Moja ya changamoto ambazo zimekuwa zikiwakabili na kuzungumziwa mara kwa mara ni magonjwa yanayoshambulia kuku, bila wafugaji kufahamu ni nini cha kufanya.
Kumekuwepo na njia mbalimbali za kutibu kuku, zikiwemo za asili na zisizokuwa za asili. Moja wapo ya tiba rahisi ya asili kwa kuku ni kwa kutumia shubiri mwitu maarufu kama Aloe Vera. Mmea ambao umekuwa ukisifika kwa kutibu magonjwa mbalimbali kwa binadamu, wanyama na ndege.
Shubiri mwitu (Aloe) imekuwa ikitumika kwa kutibu magonjwa mbalimbali ya binadamu na mifugo. Mmea huu unatumika sasa kutengeneza sabuni, dawa za binadamu na wanyama na mambo mengine mengi. Kwa sababu ya madawa mengi ya kiwandani kushindwa kutibu baadhi ya magonjwa kwa sababu wadudu wametengeza ukinzani, ipo haja kubwa ya kuweka mkazo kwenye madawa ya asili yatokanayo na mimea. Mmea wa aloe vera unauwezo wa kutibu magonjwa ya kuku hasa mharo mwekundu na kwa kiasi fulani mdondo-Newcastle disease.
Tafiti zilizofanyika kwa kutmia mti huu kutibu ugonjwa wa mharo mwekundu-coccidiosis ambao unamadhara makubwa kwa wafugaji wa kuku zinaonesha kuwa mti huu unaweza kutumiwa kama mbadala wa dawa za viwandani. Maji maji ya mmea huu yana uwezo wa kutibu magonjwa na kuponyesha majeraha yanayotokana na maambukizi ya magonjwa pamoja na kupandisha kinga ya kuku kwa asilimia 50 dhidi ya maonjwa mbalimbali.
Kupanda
Mmea wa Aloe vera unaweza kupandwa maeneo ya karibu na mabanda ya kuku ili kurahisisha upatikanaji wake na unakubali maeneo karibu yote.
Shubiri mwitu kwa ukuaji wa kuku
Shubiri mwitu inapowekwa kwenye maji inasaidia kwa kiasi kikubwa kuku kukua haraka. Mililita 15 had 20 za maji ya shubiri mwitu yakichanganywa na lita tano za maji kila siku kwa kuku 90 yana uwezo wa kusaidia ukuaji wa kuku na kuongeza uzito ukilinganisha na wale ambao hawajapewa.
Uandaaji wa Shubiri mwitu Kunywa
Shubiri mwitu (moja) inaweza kukatwe vipande vipande na kulowekwa ndani ya maji ya kunywa kiasi cha lita 1-hadi 3 kutegemeana na idadi ya kuku. Viache vipande hivyo kwenye maji kwa siku kadhaa hadi unapobadilisha maji ndipo uviweke vingine. Ukiweza kuchuja mchuzi wa shubiri mwitu basi unakuwa ukitumia mililita 15 ndani ya lita tano ya maji ya kunywa kuku kwa kuku 90 kama una kuku wachache basi punguza kiasi cha dawa au ongeza kama ni wengi.
Vidonda
Kuku wenye vidonda kama ilivyo kwa ugonjwa wa mdondo (Newcastle Disease) inakubidi utengeneze unga. Kata vipande vidovidogo vya shubiri mwitu kisha changanya na pumba kidogo, vitwange na kuvichekecha ili upate unga laini.
Anika na kisha tunza vizuri tayari kwa kuutumia mara kuku wauguapo. Kuku wenye vidonda waoshwe vizuri kwa maji safi na sabuni pamoja na chumvi kidogo. Baada ya hapo paka unga wa shubiri kwenye vidonda hivyo.
Njia hii ya asili ni nzuri na muhimu sana kwa utunzaji wa kuku, kwa kuwan hupunguza uwezekano wa matumizian ya madawa makali ya viwandani ambayo yana madhara kwa walaji na mazingira.
The post MAAJABU YA SHUBIRI MWITU KAMA TIBA KWA KUKU appeared first on Kilimo Tanzania.
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa