#VOA. | Wananchi DRC wataka UN kutangaza mauaji ya mara kwa mara kuwa ya kimbari
#VOA. | Wananchi DRC wataka UN kutangaza mauaji ya mara kwa mara kuwa ya kimbari
Akizungumuza na wanahabari akiwa katika eneo la makaburi ya watu 33 waliouawa kwa mapanga na visu mwaka 2014 Kaskazini Mashariki mwa mji wa Beni wakati wa kuadhimisha miaka minane tangu yaanze mauaji katikatika mwa Mji wa Beni Kivu kasakazini , Rachel Muvunga, mmoja wa wakaazi wa Beni ambao wamepoteza wanafamilia wao, aliomba Serikali ya DRC na Umoja wa Mataifa UN kutangaza rasmi mauaji dhidi ya…
Office zetu zipo @tegetawazohill Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
President Ruto Warns: Violence Threatens Kenya’s Prosperity
President Ruto Warns: Violence Threatens Kenya’s Prosperity
President William Ruto has called on Kenyans to shun violence and instead embrace peaceful approaches to issues of concern.
The President asked Kenyans to maintain peace, arguing that violence has resulted in the loss of life and destruction of property.
Addressing wananchi in Eldoret City after conferring city status to the metropolis on Thursday, President Ruto noted that violence undermines…
Katibu Mkuu wa CCM Ndg Emmanuel Nchimbi ameendelea na ziara yake ikiwa nisiku ya Pili Mkoa Wa kigoma akiambatana na Wajumbe wa sekretariet ya CCM Ndugu Amos Makalla katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Issa Gavu katibu wa NEC, Idara ya Oganaizesheni pamoja nae ndugu Rabia Abdalla Hamid katibu wa NEC, siasa na uhusiano wa kimataifa. Leo katibu Mkuu Ndg Emmanuel Nchimbi ame zungumza na…
Office zetu zipo @tegetawazohill Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Kwenye maisha tunatamka mambo mengi ambayo yanatuletea shida ambazo tunasahau chanzo chake ni maneno tuliyoyatamka tena kwa kuapiza.
.........Petro akamwambia YESU, Ijaponipasa kufa nawe, sitakukana kamwe. Na wanafunzi wote wakasema vivyo hivyo.
.......Mathayo 26:35......
Hapa unaona maapizo ya wanafunzi kwamba wapo tayari kufa lakini hawapo tayari kumkana, lakini YESU alipokamatwa wakamsaliti, Wengine kwa kumkana, Wengine kwa kumkimbia, Wengine wakampiga bei kwa kumuuza, nk
Enzi hizi tunaweza kuwacheka, lakini tunayoyafanya siku hizi kwa YESU ni makubwa kuliko wanafunzi waliyoyatenda.
Wengine tulipopata neema ya wokovu tuliapa viapo vingi, Wengine tukasema..... Hatutamwacha YESU, lakini sasa hivi tuko mbali Naye.... Wengine tukasema hatutamtenda dhambi kamwe, lakini sasa hivi dhambi kwetu ni kitu cha kawaida
......Wengine tulipofunga ndoa tuliapa Madhabahuni, nitakuwa mwaminifu, lakini sasa uaminifu wako umetoweka.....
...... Wengine tulipopata kazi tuliahidi kwa MUNGU na kwa watu/mtu kufanya kazi kwa bidii, Lakini mpaka sasa Ahadi yako hauikumbuki na unaona sio shida kuitimiza....
...... Wengine tukaapa kwa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 kwamba tutawatumikia wananchi, lakini kwa sasa tunazitumikia familia zetu na matumbo yetu.....
..... Wengine tuliweka nadhiri, Ahadi, Viapo kwa MUNGU, lakini mpaka sasa, tunateseka hatujui kinachotutesa kwamba ni matamko yetu.....
Ukweli ni kwamba kila Ahadi, nadhiri au kiapo ulichokiweka kwa MUNGU au kwa mtu au kwa Taifa, lazima kitatokea yaani kitadaiwa kwenye maisha yako au maisha ya uzao wako. Petro pamoja na kumkimbia na kumkana YESU alipokamatwa wengine walirejea kwa toba, na wakaendelea na utumishi wao hata baada ya kufufuka kwake BWANA YESU KRISTO, Viapo vyao vya kufa havikuondolewa.
Utakuwa shahidi namna walivyokufa, bila kumkana YESU KRISTO, kilichoshikiria hatma hiyo ni viapo walivyoapa.
..... Je wewe unakumbuka uliapa au uliahidi nini?
Rejea
"Peter said to JESUS, “Even if I have to die with You, I will not deny You!” And all the disciples said the same thing.
"Land Consultancy Services" Huduma za Ardhi ni huduma zinazotolewa na wataalamu wa ardhi kutoka kampuni ya Danvast Land and Property inayojihusisha na masuala ya ardhi. Huduma hizi zinaweza kutoa msaada katika maeneo mbalimbali yanayohusiana na ardhi. Hapa kuna baadhi ya huduma ambazo zinaweza kutolewa na watoa huduma wa ushauri wa ardhi wetu:
Uthamini wa Ardhi:
Wataalamu wa ardhi wanaweza kutoa huduma za uthamini wa ardhi ili kuamua thamani halisi ya mali isiyohamishika. Hii ni muhimu wakati wa kununua, kuuza, au kukopesha ardhi.
Ramani na Vipimo vya Ardhi:
Huduma hii inajumuisha upimaji wa ardhi, kutengeneza ramani za ardhi, na kutoa vipimo vya kina vya eneo la ardhi.
Usuluhishi wa Migogoro ya Ardhi:
Watoa huduma wa ushauri wa ardhi wanaweza kusaidia katika kutatua migogoro ya ardhi kati ya watu binafsi, makampuni, au hata kati ya serikali na wananchi.
Usimamizi wa Miradi ya Ardhi:
Wanaweza kutoa ushauri kuhusu jinsi ya kutekeleza miradi ya ardhi, iwe ni ujenzi, maendeleo, au mipango ya matumizi bora ya ardhi.
Usajili wa Hati Miliki:
Huduma hii inaweza kujumuisha kusaidia wateja kufuata taratibu za kisheria za kupata hati miliki za ardhi.
Ushauri wa Kisheria wa Ardhi:
Watoa huduma wa ushauri wa ardhi wanaweza kutoa ushauri wa kisheria kuhusu masuala yanayohusiana na ardhi, ikiwa ni pamoja na sheria za umiliki wa ardhi.
Tathmini ya Mazingira:
Wanaweza kutoa tathmini ya mazingira kuhusu athari za miradi ya ardhi kwa mazingira na kutoa mapendekezo ya kuboresha au kusimamia athari hizo.
Mafunzo na Elimu:
Huduma za ushauri wa ardhi pia zinaweza kujumuisha mafunzo na elimu kwa wamiliki wa ardhi au wadau wengine juu ya masuala ya ardhi na mabadiliko katika sera za ardhi.
Ni muhimu kuchagua watoa huduma wa ushauri wa ardhi wenye sifa na uzoefu katika eneo lako la kijiografia na mahitaji yako maalum.
wasiliana nasi kwa 0742991105 au 0678880578kwa msaada zaidi
#VOA. | Hatua ya Rais wa Kenya Ruto kuondoa marufuku ya GMO yaleta hisia mseto
#VOA. | Hatua ya Rais wa Kenya Ruto kuondoa marufuku ya GMO yaleta hisia mseto
Hatua ya serikali ya Kenya kuondoa marufuku ya bidhaa za GMO inaendelea kuleta hisia mseto baadhi ya wananchi wakisema kuwa GMO haijaweza kuthibitishwa kuwa na manufaa kwa nchi na afya ya wananchi, wakitaka utafiti zaidi ufanyike ili kuhakikisha usalama wake.
Source link: Habari hii imetoka kwenye wavuti wa VOA Swahili.
WAKATI Yanga walipowakaribisha Kaizer Chifes kwenye mechi ya Siku ya Wananchi wengi wa mashabiki wa klabu hiyo ya Afrika kusini walivutiwa na umahiri wa Zawadi Mauya. Katika mitandao ya kijamii ya Kaizer Chifes kulikuwa na wimbi la maoni ya mashabiki wakihimiza viongozi wao kumsaka Zawadi Mauya ili kumsajili kikosini mwao. Mashabiki wa Kaizer Chiefs walipigia kelele jambo hilo kutokana na mechi…
MAJALIWA AWAPONGEZA RAIS SAMIA NA DKT. MWINYI KWA SERA BORA SEKTA YA FEDHA.
Asema zimekuwa msingi katika ukuaji wa sekta ya fedha. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewapongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa sera nzuri za fedha na Uchumi ambazo zimekuwa msingi wa ukuaji wa sekta ya fedha hususan katika kuleta suluhisho la huduma za kifedha kwa Wananchi. Amesema kuwa kupitia Sera hizo kumekuwa na mabadiliko makubwa mpaka kwenye ngazi za…