3. Least favorite canon thing about this character?
Madara's official appearance happening and character arc unfolding at the same time as the War Arc...
Also I know I've bitched a few times about people thinking he's a misunderstood revolutionary, but I also genuinely think if by the War Arc Kishimoto hadn't decided that from now on, the Power of Friendship was going to fix all the more complex political elements in his shoddy worldbuilding, then we could've had a Madara motivation that was less stupid than "The world is exactly like my depression tells me". I think that character trait of his is still interesting enough to think about, but it also really does reflect the massive downgrade the manga went through regarding the handling of its more political elements. Madara could and would have committed regicide if Kishimoto remembered the Daimyo were a problem 😔
6. What's something you have in common with this character?
Reminding me of when my twitter dn was "ethical Madara kinnie", lmao. I do relate somewhat to his inflated ego fuelled by everyone in his environment during his developmental years telling him how much of a talented, special little boy he was. The difference between us though is that I eventually grew out of it.
25. What was your first impression of this character? How about now?
At first I honestly didn't care about him much beyond thinking of how cool he was, and having the same opinion as the dudebros who mostly only care about powerscaling him all the time, except I was also a hashimada truther. Now he is my beautiful princess with a disorder.
Bas Sahare Dhundte Hai Dukho Ko Kam Krne Ke Liye, Lekin Tootne Ka Dukh Kabhi Khatam Nahi Hota Hai!
Agar Hum Kabhi Mud Ke Dekhe To Hamara Dil Usi Muqaam Par Ek Chote Ziddi Bacche Ki Tarah Khada Hota Hai Jahan Hum Toote Thein.
Is Ummid Kiye Sath Ki Shyad Wo Hame Dubara Se Jod De Jisne Tooda Tha, Kyuki Uss Ke Siwa Dukho Ka Madawa Ho Hi Nahi Paata, Kehne Ko To Hum Aage Badh Jaate Hai Lkin Sach Me Aisa Hota Hai?
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazo - DSM na Kiromo - Bagamoyo
Karibu JOACK ANIMAL CLINIC, hii ndio sehemu pekee ambayo unaweza kupata mahitaji muhumu kwaajili ya mbwa au paka wako.
Tunauza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu zenye kuleta matokeo ya afya bora kwa mbwa wako.
Lakini wapo wa taalamu maalumu kabisa kwaajili ya kukushauri nini kinafaa kwaajili ya mbwa wako.
Baadhi ya vitu unavyoweza kupata JOACK ANIMAL CLINIC
1. Vyakula vya mbwa na paka
2. Virutubisho
3. Tiba lishe kwaajili ya mbwa na paka
4. Shampoo
5. Chanjo na madawa mbalimbali
6. Vifaa vya mbwa
7. Mabanda ya mbwa n
8. Keji za kusafirishia mbwa
9. Sumu za kuuwa wadudu kama kupe, nk
Hiyo ni orodha ya baadhi ya vitu tu, ila kama una changamoto yoyote au unahitaji ushuri usiache kuwasiliana na timu yetu ya wataalamu ili kuhakikisha kila kitu kinakua sawa.
Office zetu zipo @tegetawazohill - Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Somo: MAJIRA NA NYAKATI ZIMEBEBA MAISHA YAKO. (Part 15: MAAMUZI YA MWANA...
youtube
Somo: MAJIRA NA NYAKATI ZIMEBEBA MAISHA YAKO
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
Fuatilia YouTube.
Https://youtube.com/@Rwizakakiza
Sehemu 15:
""Kwa KILA JAMBO kuna MAJIRA yake, Na WAKATI kwa KILA KUSUDI chini ya mbingu""
.....Mhubiri 3:1.....
6. AINA 2 ZA MAJIRA NA NYAKATI KATIKA MAISHA YAKO.
6. 1. MAJIRA NA NYAKATI YA MWANADAMU.
Haya ni majira na nyakati zinazopangwa na Mwanadamu kwa utashi, uwezo, Ugunduzi na mamlaka aliyopewa na MUNGU. Ni uwezo wa kutambua majira na nyakati na namna ya kuenenda kwa nyakati zenyewe ili kuendesha maisha yake ya kila siku na maisha ya mwingine pia.
Mwanadamu huyu katika majira yake na nyakati zake za kibinadamu anaweza kupanga aishije (vibaya au vyema). Kutokana na anavyopanga kuishi anaweza kusaidia mapenzi ya MUNGU kutumia au akakwamisha mapenzi (makusudi) ya MUNGU yasitimie kwa muda sahihi.
Tujifunze jambo kwa Bikira Maria na Nabii Eliya.
(i). BIKIRA MARIA.
..... Malaika akaingia nyumbani kwa Bikira Mariamu akasema, "Salamu, uliyepewa neema, BWANA yu pamoja nawe". "Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa MUNGU". "Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita YESU".
Mariamu akamuuliza malaika, "Litakuwaje neno hili, maana sijui mume?"
Malaika akajibu akamwambia, "ROHO MTAKATIFU atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa KITAKATIFU, Mwana wa MUNGU". kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa MUNGU".
Mariamu akasema, "Tazama, mimi ni mjakazi wa BWANA; na iwe kwangu kama ulivyosema". Kisha malaika akaondoka akaenda zake.
.....Luka 1:28 - 38......
Hapo unaona Mariamu alikuwa tayari ameposwa, kwa lugha nyingine alikuwa na MIPANGO au makusudi yake kimaisha ataishije, na inaonekana yupo kwenye maandalizi ya kuolewa akiwa amejitunza (tofauti na mabinti wa sasa wanaishi na wanaume kabla ya ndoa takatifu). Lakini katikati ya maandalizi MUNGU anampa majira na nyakati zake Kwanini Mariamu alimuumba. Ashukuriwe MUNGU Mariamu alikubali.
Bikira Maria alikuwa na uwezo wa kukataa ndio maana MUNGU hakumvamia Mariamu alafu ajikute ana mimba, alielezwa na Mariamu akakubali kutekeleza majira na nyakati za MUNGU.
(ii). NABII ELIYA.
.....Yezebeli akampelekea Eliya mjumbe, kusema, "Miungu wanifanyie hivyo na kuzidi, nisipokufanya roho yako kesho, panapo wakati huu, kama roho ya mmojawapo wa hao (Manabii).
Eliya akakimbia, akaendelea katika jangwa mwendo wa siku moja, akaenda akaketi chini ya mretemu. AKAJIOMBEA ROHO YAKE AFE, akasema, Yatosha; sasa, Ee BWANA, uiondoe roho yangu; kwa kuwa mimi si mwema kuliko baba zangu"
BWANA akamwambia, Enenda, urudi njia ya jangwa la Dameski; UKIFIKA , MTIE MAFUTA ELISHA mwana wa Shafati wa Abel-Mehola mtie AWE NABII MAHALI PAKO.
.....1Wafalme 19:2 - 16....
Eliya pamoja na utumishi uliotukuka alioufanya makusudi ya MUNGU hayakutimia kupitia yeye, alikwamisha Majira na nyakati za MUNGU kwa hofu ya kumwogopa Yezebel.
Je wewe unaruhusu mapenzi ya MUNGU yatendeke au wewe ni chanzo cha kukwamisha makusudi ya MUNGU yasifanyike kwa muda sahihi?.
ZINGATIO.
Mwanadamu anapotumia vibaya majira na nyakati zake, anakwamisha kusudi la MUNGU lisitimie kwa wakati. Pili anakuwa chanzo cha kuleta au kusababisha majira na nyakati za taabu na mateso kwa wengine au hata kwake mwenyewe.
Mfano.
BWANA YESU anasema
....."MSIWAOGOPE WAUUAO MWILI, WASIWEZE KUIUA na ROHO; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum".
......Mathayo 10:28.....
Kwa lugha hiyo sio kila kifo ni mpango wa MUNGU, ila kuna vifo vingine ni MIPANGO ya wanadamu. Maana anasema Usiogope mtu anayeua mwili, mwenye uwezo wa kuua Roho ni MUNGU pekee, lakini tukubaliane watu au mtu ana uwezo wa kukutenganisha mwili wako na Roho yako yaani kwa kukuua kabisa kimwili.
Hivyo mwanadamu ana uwezo wa kuharibu majira na nyakati zake mwenyewe (kwa kujiua /madawa ya kulevya na Ulevi /Uzinzi /ushoga, nk) au kuharibu majira na nyakati za mtu mwingine (kwa kumwaribia maisha /kusingizia /Ubakaji /ulawiti /kulipiza visasi /Chuki, nk).
Lakini pia majira na nyakati zako unaweza kuzifanya zikawa za furaha, amani na upendo na wengine pia wakafurahia majira na nyakati zao kwa sababu yako na mpango wa MUNGU ukawa rahisi kutimia kwako na kwao.
Je majira na nyakati zako na wengine ni zipi?.
6. 2. MAJIRA NA NYAKATI YA MUNGU
....Tutaendelea....
Rejea
“I assure you and most solemnly say to you, whatever you bind [forbid, declare to be improper and unlawful] on earth shall have [already] been bound in heaven, and whatever you loose [permit, declare lawful] on earth shall have [already] been loosed in heaven".
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Office zetu zipo @TegetaWazohill Barabara ya kwenda kiwanda cha @twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Office zetu zipo @tegetawazohill - Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa