Tumgik
#misitu
miaouslim · 1 year
Text
9 notes · View notes
lightichor · 10 months
Text
Tumblr media
hi! this is my blog for my oc universe which as of now ill dub the blacklightverse, however this will mostly focus on my rhythm adventure game concept that is currently going by the name of ‘Misitu Mash’ (this may change in the future) . its a vacuum world where my characters live that can interact with the human world as well as having characters from different time periods as well. it is mostly what one describes as a vacation spot.
what youll see here is probably goofy stuff that ive grabbed from my friends and i, but also lore sprinkled in as well. ill try to keep it tagged consistently but im pretty bad at it
not all characters have designs yet, and the story is still being tweaked and developed as i go. its a long passion project for me about generational trauma and defiance of destiny thats mostly centered around latinos and other people of color.
please feel free to ask questions ! i develop my world often by thinking of ways to answer stuff
want to get a feel for some characters? check out their playlists ! (wip!);
tekua , mango , tripl3 , mali , kina , clef , yu , vicente , oleander , niza , ajay
2 notes · View notes
keroronpa · 11 months
Text
misitu mash if tripl3 and mango stayed their asses in the real world and tripl3 actually went to college while still dating mango
Tumblr media
2 notes · View notes
joackcompany · 2 years
Text
JE, UNAFAHAMU SABABU ZINAZOFANYA MTI UKAUKE.?
Call/Text/WhatsApp: +255 712 25 31 02
@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @afyakiganjani @joackagrovet @joackbagamoyo @joackanimalclinic
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm).
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo
Kuna muda unakutana mti ambao ulikuwa na afya na umestawi vizuri tu, lakini baadae tena unaukuta tena umekauka tu.
Mti kama mti haiwezi kukauka bila sababu, zamani watu walikuwa wanasema ukiona mti umekauka basi utakuwa ulikaliwa au kupitiwa na wachawi🤣🤣😂.
Kwenye Plant ☘️ biology na kitaalamu zipo sababu kadhaa ambazo zinaweza kupelekea mti kukauka, hapa sitazieleza kiundani ila nitazitaja tu.
Sababu zinazo sababisha mti kukauka ni kama:-
1. Upungufu wa madini (nutrient deficiency), hasa Nitrogen (N).
2. Ukame (extreme drought).
3. Mafuriko (flooding).
4. Maji kutuma (waterlogging).
5. Chumvi Chumvi kwenye udongo (soil salinity/sodicity).
6. Joto kali (high temperature).
7. Matumizi ya dawa za kuuwa wadudu (insecticides).
8. Matumizi ya dawa za kuuwa fangasi (fungicides).
9. Matumizi ya dawa za kuuwa magugu (herbicides).
10. Fangasi kwenye mizizi.
11. Bakteria kwenye mizizi.
12. Wadudu (mchwa) kwenye mizizi.
Hizi sababu zinaweza kuchangia moja kwa moja (direct) kukauka kwa mti au zikachochea uwepo wa sababu nyingine (indirect) zitazo pelekea mti kukauka.
Endelea kufatilia page zetu uweze kujifunza zaidi, lakini pia kama unahitaji ushauri wa kitaalamu unaweza kutupigia simu au ukafika ofisini kwetu au ukatualika shambani/site kwajili ya ushauri wa kitaalamu.
#mti #miti #tree #trees #drytree #mtimkavu #misitu #mitikukauka #mtikukauka #sababuzamtikukauka #treedrying #mtikufa #sababuzamitikufa #mtikunyauka #magonjwayamiti #fangasikwenyemizizi #mchwa #mchwawamiti #mchwawamizizi
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 714 63 63 75 (WhatsApp)
+255 692 43 02 63
Email:
#joackcompany #mifugo #kilimo #dodoma #morogoro
JOACK COMPANY LTD | DSM & BAGAMOYO
0 notes
Video
TICHA. Nikiwa Mkoani Geita, nimepiga stori na miongoni mwa walimu walimfundisha Mhe. Rais wa Tanzania, Dkt. John Joseph Magufuli katika shule ya msingi Chato. Mwalimu huyo alinieleza stori kuhusu mti ambao umepewa jina la utani 'Mti wa Magufuli' uliopo shuleni hapo na yeye ndie aliyemwambia Mhe. Rais enzi hizo akaupande. Usikose stori hii kuhusu historia ya Uhifadhi wa Mazingira katika shule ya msingi Chato, mkoani Geita. Producer @anapitatz Edited @ali__verses @anapitatz @wanenestudios Cc @tanzania_kijani #tanzaniakijani #Uhifadhi #mazingira #Chato #Geita #misitu #kilimoendelevu #utaliimazingira #conservation #tanzania #forests #environment #sustainableagriculture #ecotourism 🍃🌳 (at Dar es Salaam, Tanzania) https://www.instagram.com/p/BzTWVqYF2tR/?igshid=y95zd5vvegip
0 notes
angiieblade · 8 years
Photo
Tumblr media
"Cada alma es y se convierte en lo que contempla" -Plotino Gato/Misitu 🐱 #Amistad #Gatuna #Sombras #Polar #InstaCat #Mapa #Misitu #Kitty #AmorAnimal #Uémbekua #Silueta
0 notes
babadupdates · 3 years
Photo
Tumblr media
Mkuu wa Wilaya ya Muheza Halima Bulembo @halima_bulembo kushoto akipokea msaada wa madawati,viti na meza kutoka kwa Mhifadhi wa shamba la miti Longuza Ellyneema Mwasalanga kwa ajili ya shule za Sekondari ,Msingi na Ofisi za Watendaji vyenye thamani ya Milioni 17.4 vilivyotolewa na Wakala wa Misitu Tanzania @tfs_shz @tfs_longuza #babadupdates (at Baba d updates) https://www.instagram.com/p/CQwcsMxrS9E/?utm_medium=tumblr
0 notes
enockmaregesi · 4 years
Photo
Tumblr media
Taifa la Muungano wa Visiwa vya Mangrove Vya Ransium, "The United Mangrove Archipelago of Ransium", lililoko katika Bahari ya Pasifiki, mwaka jana lilininukuu katika mojawapo ya mikutano yake ya kimataifa inayohusu mazingira. Taifa hili, kwa mtazamo wangu, ni taifa lenye mambo ya kushangaza sana! Kwa mfano, hakuna Serikali Kuu. Linaendeshwa na serikali za mitaa, na linaamini katika dini iitwayo "Mangrovism" ambayo ni dini ya misitu. Aidha, katika Jamhuri ya Ransium kuoa wake au waume wengi kumeruhusiwa kikatiba kabisa! Ndoa za jinsia moja zimeruhusiwa pia. Pia mtu anapokufa viungo vyake vyote muhimu lazima vitolewe kwa ajili ya kafara, au kwa ajili ya walio hai wanaovihitaji kwa ajili ya afya zao. Katika taifa hilo watoto hujitunza wenyewe. Yaani, hawatakiwi kupata matunzo kutoka kwa wazazi wao au jamii yao ya Kiransium na wanaruhusiwa hata kufanya kazi za kujikimu kwa ajili ya maisha yao wenyewe. Hakuna michezo ya aina yoyote ile wala hakuna kuvuta sigara au mihadarati, na kafara za binadamu zinaruhusiwa bila kificho kwa sababu za kidini. Katika taifa la Ransium hakuna kompyuta, hakuna intaneti, hakuna magari, hakuna ndege (eropleni), na hakuna pombe ya aina yoyote ile. Nilijisikia furaha sana kunukuliwa na taifa linaloongoza kwa utunzaji wa mazingira duniani, ambalo Umoja wa Mataifa ulilichagua kuwa balozi wake wa misitu toka Machi 20 mwaka 2007. Hili ni taifa ambalo watu wengi duniani hawalijui. Haliko kwenye ramani ya Dunia. Liko katikati ya Bahari ya Pasifiki, likiwa na jumla ya visiwa vikubwa 16 vinavyojitegemea; na kwa mujibu wa NSWIK, http://archive.nswiki.org/index.php?title=Ransium, unaambiwa lina watu zaidi ya bilioni 1.4, zaidi ya China au India au Afrika! - Halafu taifa hilo linahamasishwa na nukuu ya Mtanzania ambaye hata hakuujua uwepo wake! Asante sana Ransium kwa kuninukuu, na kwa kuifanya nukuu yangu kuwa kaulimbiu ya mkutano wenu wa majuma mawili kuhusu misitu ya mikoko mnayoithamini sana. Mungu ibariki Ransium. Mungu wabariki Waransium. Soma zaidi hapa: https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=3948955368461595&id=100000415120038 #ransiumarchipelago #nationstates #wastates #enockmaregesi #mangroveforest #environment https://www.instagram.com/p/CKDSreeHZIs/?igshid=daftixh6qqua
0 notes
mazallaposts · 6 years
Quote
 Waziri wa Fedha na Mipango. Mhe. Dkt Philip Isdor Mpango (Mb), akielezea fursa za uwekezaji zilizopo nchini ikiwa ni pamoja na uwekezaji katika Sekta ya Mifugo wakati wa Mkutano na Balozi wa Switzerland Nchini  Bi. Florence Tinguely Mattli (hayupo pichani),  Jijini Dodoma.  Waziri wa Fedha na Mipango. Mhe. Dkt Philip Isdor Mpango(Mb), akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Switzerland Nchini  Bi. Florence Tinguely Mattli (kushoto) kuhusu ushirikiano kati ya nchi hizo mbili, Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Khatibu Kazungu Jijini Dodoma.  Balozi wa Switzerland Nchini Bi. Florence Tinguely Mattli, akifafanua jambo wakati wa Mkutano kati yake na  Waziri wa Fedha na Mipango. Mhe. Dkt Philip Isdor Mpango (Mb) (hayupo pichani) Jijini Dodoma. Waziri wa Fedha na Mipango. Mhe. Dkt Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoto), akiagana na Balozi wa Switzerland Nchini  Bi. Florence Tinguely Mattli (kulia) baada ya kumaliza mazungumzo yaliyolenga kuboresha uhusiano kati ya nchi hizo mbili Jijini Dodoma. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango) Switzeland imeahidi kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kusaidia Sekta mbalimbali za Maendeleo hasa katika suala la Afya, kuongeza ajira na kukuza ujuzi . Hayo yamebainishwa wakati wa Mkutano Jijini Dodoma kati ya Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Philip Isdor Mpango na Balozi wa Switzerland hapa nchini Bi. Florence Tinguely Mattli, ulioangazia uhusiano kati ya nchi hizo mbili na namna ya kuboresha ushirikiano. Katika Mkutano huo Waziri Mpango amemuomba Balozi huyo kuangalia uwezekano wa kuwapa mafunzo madaktari Bingwa nchini ili kukidhi uhitaji uliopo hasa katika Jiji la Dodoma ambalo ndio makao Makuu ya Nchi na  idadi ya wakazi wake inaongezeka, na pia kufadhili mafunzo kwa Watumishi wa umma ili kuwajengea uwezo katika kada mbalimbali lengo likiwa ni  kuongeza ufanisi wa kazi. Aidha waziri Mpango aliongeza kuwa miundombinu ya Jiji la Dodoma inahitaji kuboreshwa hivyo Switzerland iangalie uwezekano wa kufadhili miradi ya maendeleo katika Sekta ya Maji na mazingira.  “Tanzania ni nchi ya tatu kwa kuwa na mifugo mingi Barani Afrika lakini ufugaji wa mifugo hiyo hauna ubora, kwa kuwa Switzerland imeendelea katika Sekta ya Mifugo fursa ipo ya uwekezaji katika eneo hilo hapa nchini” alieleza Dkt. Mpango. Amesema kuwa Serikali ya Tanzania inafanya jitihada mbalimbalimbali kukabiliana na umasikini hivyo ni vema Washirika wa Maendeleo wakatambua kuwa hatua mbalimbali ambazo Serikali inazichukua kama kupambana na wakwepa kodi na kuboresha mikataba zina lengo la kuboresha maisha ya watanzania  kwa kuhakikisha wananufaika na rasilimali nyingi zilizopo nchini na wawekezaji waweze kunufaika pia. Waziri Mpango amesema kuwa Switzerland inashiriki kikamilifu katika  miradi ya Matumizi bora ya misitu hususani Mkoani Morogoro, kuboresha ujuzi na kukuza ajira kwa Watanzania. Kwa upande wake Balozi wa Switzerland nchini Bi. Florence Tinguely Mattli, amesema kuwa Uhusiano kati ya Nchi yake na Tanzania umezidi kuimarika na kuahidi kuendelea kuisaidia Tanzania  katika sekta mbalimbali za maendeleo huku akisisitiza suala la kuzingatia  uwazi na mazingira bora ya uwekezaji  kwa kuwa ni chachu kubwa ya kuvutia uwekezaji wenye tija kwa pande zote mbili. Dkt. Mpango amemhakikishia Balozi huyo kuwa Serikali inatoa na itaendelea kutoa ushirikiano unaohitajika katika suala la uwekezaji kwa kuwa Tanzania inaongozwa kwa utawala wa sheria unaozingatia haki. Imetolewa  na ; Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango
http://www.mtazamonews.co.tz/2018/05/switzerland-yaahidi-kuimarisha-uhusiano.html
1 note · View note
3d10fire-damage · 4 years
Photo
Tumblr media
vandalizing the Misitu map
1 note · View note
mteulethebest · 4 years
Text
Dkt. Damas Ndumbaro| Chato ni Kitovu kikuu cha Utalii na Uhifadhi
Dkt. Damas Ndumbaro| Chato ni Kitovu kikuu cha Utalii na Uhifadhi
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Damas Ndumbaro ameitangaza Chato kuwa Kitovu Kikuu cha Uhifadhi na Utalii Kanda ya Ziwa kwakuwa ina vivutio vingi vya utalii na kwa kuwa Chato ni eneo tulivu, amesema hayo wakati akikagua shamba la miti la Biharamulo. “Chato kuna Utalii wa aina nyingi unaweza kufanya utalii wa misitu, kuna Ziwa unaweza kufanya utalii wa maji, kuna hifadhi ya Burigi Chato…
Tumblr media
View On WordPress
0 notes
moraatimes-blog · 4 years
Text
Misitu Raha Chill and Grill
Misitu Raha Chill and Grill
The 20th of October was Mashujaa day and a lot of events went down. But there is this one event that stood out from the rest – MisituRahaChillNGrill, powered by the powerful eventstur.
Tumblr media
As the name suggests, MisituRahaChillNGrill happens in a Forest- Kiswahili name (Misitu). The idea of the misitu is to give people a chance to chill, eat grilled meals and network far away from the hustle…
View On WordPress
0 notes
kaniki666 · 4 years
Photo
Tumblr media
JE WAJUA Sanamu iliyopatikana ndani ya misitu ndani ya piramidi za Mexico, pia imepatikana katika mahekalu mengine ulimwenguni!!🤭🤭🤭 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 Ni wakati wa kukubali kwamba hatujawahi kuwa peke yetu! Comment na share #kaniki https://www.instagram.com/p/CFXRkZgpT8K/?igshid=1wv83mm4uz0ir
0 notes
kzoneupdate · 4 years
Photo
Tumblr media
Marufuku mapya ya kutotumia bidhaa za plastiki nchini Kenya yaanza kutekelezwa Uamuzi wa Kenya wa kupiga marufuku matumizi ya bidhaa za plastiki katika maeneo yote yaliyohifadhiwa yakiwemo fukweni, mbuga za taifa, maeneo ya Hifadhi za Taifa na misitu umeanza kutekelezwa Juni 5. Uamuzi huu ulitolewa mwaka jana na rais Uhuru Kenyatta wakati akihutubia kwenye Mkutano wa Wanawake nchini Canada. Hatua hii imekuja miaka miwili tu baada ya Kenya kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki, ikilienga kunufaisha afya ya umma, viumbe anuai, utalii na kilimo. Agosti mwaka 2017 Kenya ilipiga marufuku uzalishaji, uuzaji na matumizi ya mifuko ya plastiki hatua ambayo inachukuliwa kuwa kali Zaidi duniani. Na endapo mtu akikamatwa anatumia mifuko hii adhabu yake ni kifungo cha hadi miaka minne jela au kulipa faini ya Sh milion 4 za Kenya. https://www.instagram.com/p/CBawGxxg2LI/?igshid=i0k2vt4ahqef
0 notes
babadupdates · 4 years
Photo
Tumblr media
MILIONI 30 YA SACCOS YA WALIMU ZAOKOLEWA NA TAKUKURU . Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Tanga imefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi Milioni 30 za chama cha walimu cha kuweka na kukopa wilayani Korogwe mkoani humo zilizokuwa zimefanyiwa ubadhirifu na baaadhi ya waliokuwa viongozi wa chama hicho. Hayo yamebainishwa na Kaimu mkuu wa Takukuru mkoa wa Tanga Dkt Sharifa Bungala kwenye makabidhiano ya fedha hizo na mkuu wa wilaya ya Korogwe Kissa Kassongwa mbele ya kamati ya ulinzi na usalama na kutoa onyo kwa viongozi wa vyama mbalimbali vya ushirika pamoja na saccos kujiepusha na vitendo hivyo. Akitoa taarifa mbele ya kamati ya ulinzi na usalama, viongozi wa chama hicho pamoja na waandishi wa Habari wakati makabidhiano ya fedha hizo, mkuu wa Takukuru wilaya ya Korogwe ameeleza jinsi walivyowabaini watuhumiwa hayo. Aidha mkuu wa wilaya ya Korogwe Kissa Kasongwa baada ya kupokea fedha hizo akiagiza waliohusika kwenye ubadhirifu wa fedha hizo washtakiwe,pia kutaja saccos nyingine ambazo zinatiliwa mashaka na wahusika kama anavyoelezea... Katika hatua nyingine ofisi ya Takukuru mkoa wa Tanga imeshinda kesi mbili za rushwa na uhujumu uchumi katika Mahakama ya wilaya ya Handeni ambapo kesi ya kwanza inamuhusu Stephen Sanga aliyekuwa mhasibu wa Hospitali ya mji wa Handeni aliyehukumiwa 10 au faini na kutoka kwa faini,huku kesi ya Pili ni juu ya watuhumiwa wawili ambao ni Fatma Ally na George Talimo ambao ni watumishi wa mamlaka ya hifadhi ya misitu TFS kitengo cha nyuki baada ya kushawishi na kupokea rushwa na shilingi milioni moja. (at Kimamytvonline) https://www.instagram.com/p/CFThsD2gjQF/?igshid=1vv9nicji7e0
0 notes
enockmaregesi · 5 years
Photo
Tumblr media
Picha hii ni kwa hisani ya Muungano wa Visiwa vya Mangrove vya Ransium, katika Bahari ya Pasifiki, unaoendeshwa na serikali za mitaa, unaoamini katika dini ya Mangrovism. Taifa la Ransium ni taifa la ajabu sana: Kuoa wake au waume wengi kumeruhusiwa; ndoa za jinsia moja zimeruhusiwa; mtu anapokufa viungo vyake vyote muhimu lazima vitolewe kwa ajili ya kafara, au kwa ajili ya waliohai wanaohitaji viungo hivyo. Watoto hujitunza wenyewe, hawatakiwi kupata matunzo kutoka kwa wazazi wao au jamii yao ya Kiransium, na wanaruhusiwa kufanya kazi. Hakuna michezo ya aina yoyote ile. Hakuna kuvuta sigara. Kafara za binadamu zinaruhusiwa kwa sababu za Kimangrovism. Katika taifa la Ransium hakuna kompyuta; hakuna intaneti; hakuna magari; hakuna ndege (eropleni); hakuna pombe ya aina yoyote ile. Raia wa Ransium hawaruhusiwi kuhama nchi. Hakuna serikali kuu. Mamlaka ya kuongoza nchi yako chini ya serikali za mitaa. Kuna kiongozi wa kidini aitwaye Scipio. Kupata taarifa zaidi kuhusiana na taifa hili la Ransium, lenye utajiri mkubwa wa misitu ya mikoko ("mangrove forests"), tembelea mojawapo ya tovuti zake hapa: https://www.nationstates.net/region=forest - -Enock Maregesi, mwandishi wa Kolonia Santita #pasifiki #pacificocean #mangrove #mazingira #environment #scipio https://www.instagram.com/p/BxOwUb2Hqdu/?utm_source=ig_tumblr_share&igshid=tp6xng60u6dc
0 notes